TEHRAN (IQNA) – Kituo cha kidini cha Diyanet nchini Markeani, kwa mujibu wa tovuti yake, ni taasisi ambayo inajikita katika kutoa huduma za kidini na kijamii kwa Waturuki na Waislamu wote wanaoishi nchini Marekani.
Kituo hicho kiko katika jimbo la Marland nchini Marekani na hupokea kiwango
kikubwa cha misaada yake kutoka Idara ya Masuala ya Kidini (Diyanet) ya Rais wa
Uturuki.