Mashindano hayo amabyo yalifunguliwa rasmi Jumatano yanawashiriki 270 wakiwemo wasomaji na waliohifadhi Qur'ani tukufu kutoka nchi 83 duniani.
Mashindano yataendelea kwa muda wa siku sita hapa Tehran, hadi Jumanne 26 Aprili inayosadifiana na tarehe 27 Rajab, katika Ukumbi wa Sala wa Imam Khomeini MA.
Kwa wale wenye uwezo wa kufuatilia mashindano hayo kupitia intaneti wanaweza kutemebelea ukurasa wa IQNA katika akaunti ya Instagram ya @iqnanews
Aidha unaweza kufuatilia mashindano hayo moja kwa moja kupitia Televisheni ya Qur'ani ya Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika toovuti ifuatayao