Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa: kushikamana na Qur'ani ni jambo ambalo litauletea Umma wa Kiislamu mafanikio na heshima.
2014 Jun 03 , 19:38
Mashindano ya ۳۱ ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu yamemalizika leo Jumatatu hapa Tehran bada kuendelea kwa muda wa wiki moja.
2014 Jun 02 , 18:48
Iwapo Waislamu wa maeneo yote duniani wataweka kando migongano yao na kushikamana na Kamba ya Allah, yaani Qur'ani Tukufu, basi ulimwengu wa Kiislamu utashuhudia ustawi mkubwa na wa kasi katika nyanja zote.
2014 May 31 , 17:56
Mashindano ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu yameanza siku ya Jumatatu mjini Tehran katika mkesha wa siku kuu ya kukumbuka wakati Mtume Mtukufu wa Uislamu Muhammad Mustafa SAW alipobaathiwa yaani kupewa Utume na Mwenyezi Mungu.
2014 May 27 , 18:32
Muungano wa Wasomaji Qurani Tukufu nchini Misri umemfutia uanachama wa muungano huo Sheikh Farajullah al Shadhilii mmoja kati ya wasomaji Qurani Tukufu mashuhuri nchini Misri kwa sababu tu ya kuadhini kwenye Msikiti wa Kishia nchini Iraq.
2014 May 15 , 12:14
Mashindano ya Qur’ani nchini Kenya yameingia wiki yake ya pili kwa kufanyika awamu ya mchujo katika Masjid Kambi eneo la Kibra katika mji mkuu, Nairobi.
2014 Mar 31 , 22:16
Kundi la watu wasiojulikana limeushambulia msikiti mmoja kaskazini mwa Rome mji mkuu wa Italia na kuteketeza nakala zote za Qur’ani Tukufu zilizokuwemo msikitini humo.
2014 Mar 19 , 20:47
Abdul-Rahman Farih ndie mtu mwenye umri wa chini zaidi duniani kuhifadhi kilamilifu Qur'ani Tukufu.
2014 Mar 10 , 11:27
Wananchi wa Mauritania wameandamana katika maeneo mbalimbali ya mji mkuu, Nouakchott kulaani kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu.
2014 Mar 04 , 18:55
Habari iliyochapishwa na gazeti la al Umanaa la Yemen kwamba rais wa zamani wa nchi hiyo Ali Abdullah Saleh alitwaa na kuchukua nakala ya Qur'ani iliyoandikwa kwa hati za mkono inayonasibishwa kwa Imam Ali bin Abi Twalib (as) imezusha mjadala mkubwa nchini humo.
2014 Feb 19 , 19:20
Jumuiya ya Kutetea Haki za Waislamu imelifungulia mashtaka gazeti la Charlie Hebdo la Ufaransa kwa sababu ya kuchapisha makala inayovunjia heshima kitabu kitakatifu cha Mwenyezi Mungu, Qur'ani na matukufu mengine ya Kiislamu.
2014 Feb 19 , 19:14
Maonyesho ya pili ya nakala za Qur'ani Tukufu zilizoandikwa kwa hati za mkono imepangwa kufanyika tarehe 30 mwezi huu wa Oktoba katika mji mtakatifu wa Najaf huko Iraq.
2013 Oct 28 , 20:49
Matokeo ya awali ya mashindano ya 17 ya taifa ya Qur'ani Tukufu nchini Kuwait katika taaluma za tajwidi na hifdhi ya Qur'ani yalitangazwa jana katika kikao kilichohudhuriwa na Waziri wa Wakfu na Masuala ya Kiislamu wa nchi hiyo.
2013 Oct 28 , 20:19