IQNA – Kile Uislamu unasema kuhusu nidamu ya kijamii ni mbali zaidi ya kile ambacho wengine wanasema. Kwa mujibu wa Uislamu, nidhamu ya kijamii uinapaswa kuwa kiasi kwamba haina madhara kwa uhuru wa mtu binafsi na uadilifu wa kijamii.
23:23 , 2024 May 13