iqna

IQNA

raqqa
Wizara ya Ulinzi ya Russia
TEHRAN (IQNA)-Russia imetangaza kuwa inachunguza ripoti zinazoashiria kuwa huenda kinara wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh, Abu Bakr Al-Baghdadi ameuawa katika hujuma ya ndege za Russia nchini Syria.
Habari ID: 3471020    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/16