Magaidi wakufurishaji wa kundi la Boko Haram nchini Nigeria wamewaua watu 22 waliokuwa wakisali katika msikiti mmoja jimboni la Maiduguri, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3470201 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/16
Idadi ya watu waliopoteza maisha katika shambulio la kujilipua mjini Maiduguri, kaskazini mashariki mwa Nigeria imeongezeka na kufikia 60.
Habari ID: 3310844 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/03