iqna

IQNA

hira
Harakati za Qur'ani
Makka (IQNA)Vijana wawili wasomaji Qur'ani Tukufu Wairani, ambao wamekwenda katika ardhi ya Wahyi (Makka) wakiwa katika msafara wa Qur'ani wa Noor, walishiriki katika mashindano ya aya za mwanzo za Surah Al-Alaq katika eneo la Pango la Hira.
Habari ID: 3477239    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/05

TEHRAN- (IQNA)-Tarehe 27 Rajab Mwaka wa Tembo na akiwa na umri wa miaka 40, Mtume Muhammad (SAW) alikuwa juu ya kilele cha Mlima Hira, akijishughulisha na ibada ndani ya pango la mlima huo, ambapo ghafla malaika Jibril AS alimteremkia huku akiwa amebeba wahyi kutoka kwa Mwenyezi Mungu SW.
Habari ID: 3470950    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/24