IQNA

Jeshi katili la Israel lateka meli ya msaada iliyokuwa ikielekea Gaza

IQNA-Jeshi la majini la utawala ghasibu wa Israel limeiteka meli ya misaada iliyokuwa ikielekea Ukanda wa Gaza, ikiwa na bendera ya Uingereza, katika harakati...

Masheikh wa Kishia na Kisunni wa Iraq waswali pamoja katika Haram ya Imam Hussein (AS) kuashiria Umoja wa Kiislamu

IQNA – Katika kuonyesha mshikamano wa Waislamu, masheikh wa Kisunni walijumuika Jumamosi jioni kwa swala ya jamaa pamoja na ndugu zao wa Kishia katika...

Kampeni ya Kimataifa ya Qur'ani ya “Fath”: Qari Muirani asoma aya za Sura Aal Imran

IQNA- Mahdi Ghorbanali, qari wa swala ya Ijumaa mjini Tehran, amejiunga na kampeni ya Qur’ani ya IQNA iitwayo “Fath” kwa kusoma aya ya 139 ya Surah Al-Imran.

Kongamano la kimataifa kuwaenzi Waislamu wenye mchango mkubwa, wakiwemo Nasrallah

IQNA – Viongozi wa kidini nchini Iran wametangaza kuanzishwa kwa kongamano la kimataifa litakalowatambua na kuwaheshimu wanazuoni watatu mashuhuri wa Kiislamu...
Habari Maalumu
Kumbukumbu ya miaka 8 ya kifo cha Sheikh Tantawi, gwiji wa usomaji Qur'ani

Kumbukumbu ya miaka 8 ya kifo cha Sheikh Tantawi, gwiji wa usomaji Qur'ani

IQNA – Jumamosi, tarehe 26 Julai 2025, ulimwengu wa Kiislamu uliadhimisha kumbukumbu ya kifo cha Sheikh Muhammad Abdul Wahhab Al-Tantawi, gwiji wa usomaji...
27 Jul 2025, 15:40
Hatua ya Mkoa ya Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu Yaanza Tehran

Hatua ya Mkoa ya Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu Yaanza Tehran

IQNA – Hatua ya mkoa ya Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu nchini Iran ilianza asubuhi ya Ijumaa, Julai 25, 2025, chini ya usimamizi wa Idara...
27 Jul 2025, 15:18
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Maendeleo ya kijeshi na kielimu ya Iran yataharakishwa zaidi

Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Maendeleo ya kijeshi na kielimu ya Iran yataharakishwa zaidi

IQNA – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kwamba mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran yameshindwa kutimiza malengo waliyojiwekea,...
26 Jul 2025, 17:46
Ayatullah Sistani atoa wito kwa nchi za Kiarabu na Kiislamu zichukue hatua kukabiliana na njaa inayoshadidi Gaza

Ayatullah Sistani atoa wito kwa nchi za Kiarabu na Kiislamu zichukue hatua kukabiliana na njaa inayoshadidi Gaza

IQNA-Kiongozi mkuu Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq, Ayatullah Sayyid Ali al-Sistani, ameelezea masikitiko yake makubwa kuhusu hali ya kibinadamu...
26 Jul 2025, 17:37
Vikao vya Qur’ani Tukufu  Mwezi wa Muharram vyafanyika katika mkoa wa Babylon, Iraq

Vikao vya Qur’ani Tukufu Mwezi wa Muharram vyafanyika katika mkoa wa Babylon, Iraq

IQNA – Chuo cha Kisayansi cha Qur’ani kinachohudumu chini ya Utawala wa Haram ya Hadhrat Abbas (AS) kimeandaa mfululizo wa vikao vya Qur’ani Tukufu katika...
26 Jul 2025, 17:34
Ndoto ya Kusoma Qur’ani Tukufu yatimia kwa mzee mmoja wa Misri akiwa na umri wa Miaka 76

Ndoto ya Kusoma Qur’ani Tukufu yatimia kwa mzee mmoja wa Misri akiwa na umri wa Miaka 76

IQNA – Mwanamke mkongwe kutoka Aswan, Misri, aliyekuwa hajui kusoma wala kuandika kwa muda mrefu, hatimaye ameweza kutimiza ndoto yake ya kusoma Qur’ani...
26 Jul 2025, 17:30
Nakala za Qur'ani zasambaziwa abiria katika Uwanja wa Ndege wa Al-Aaroui nchini Morocco

Nakala za Qur'ani zasambaziwa abiria katika Uwanja wa Ndege wa Al-Aaroui nchini Morocco

IQNA – Kwa lengo la kueneza mafundisho ya Uislamu, maafisa wa serikali ya Morocco wamegawa nakala za Qur’ani Tukufu kwa Wamorocco wanaoishi nje ya nchi...
26 Jul 2025, 17:21
Misri yaanzisha mradi wa majaribio wa 'Chekechea Misikitini'

Misri yaanzisha mradi wa majaribio wa 'Chekechea Misikitini'

IQNA – Mamlaka za Misri zimezindua mradi wa majaribio wa kutumia maeneo ya misikiti kwa elimu ya awali ya watoto chini ya makubaliano mapya ya ushirikiano...
25 Jul 2025, 14:02
Wanafunzi wa Qatar washiriki kozi ya Majira ya Joto ya Kuhifadhi Qur'ani

Wanafunzi wa Qatar washiriki kozi ya Majira ya Joto ya Kuhifadhi Qur'ani

IQNA – Wanafunzi thelathini wa Qatar wameshiriki katika kozi ya majira ya joto ya wiki tatu iliyoandaliwa na Kituo cha Elimu ya Qur'ani cha Al Noor kwa...
25 Jul 2025, 14:10
Haram ya Imam Ali (AS) yajiandaa kuwapokea mamilioni ya Wafanyaziyara wa Arbaeen

Haram ya Imam Ali (AS) yajiandaa kuwapokea mamilioni ya Wafanyaziyara wa Arbaeen

IQNA – Haram Tukufu ya Imam Ali (AS) iliyopo Najaf, Iraq, imetangaza kuwa inaendelea na maandalizi makubwa kwa ajili ya kuwapokea Wafanyaziyara wengi wanaotarajiwa...
25 Jul 2025, 13:55
Msafara wa Qur'ani wa Arbaeen nchini Iraq kuanza Agosti 5

Msafara wa Qur'ani wa Arbaeen nchini Iraq kuanza Agosti 5

IQNA – Shughuli za Msafara wa Qur'ani wa Arbaeen wa Iran mwaka huu nchini Iraq zinatarajiwa kuanza tarehe 5 Agosti, kwa mujibu wa afisa mmoja.
25 Jul 2025, 13:45
Ayatullah Hamedani atoa wito wa kuhitimishwa njaa na mzingiro Gaza katika barua kwa  Papa Leo

Ayatullah Hamedani atoa wito wa kuhitimishwa njaa na mzingiro Gaza katika barua kwa Papa Leo

IQNA-Mmoja wa viongozi wa ngazi za juu kidini nchini Iran amemwandikia barua Papa Leo XIV akisema: "Mienendo ya kikatili na isiyo ya kibinadamu ya utawala...
25 Jul 2025, 11:04
Mwanazuoni mwandamizi Iran ataka dunia ikomeshe njaa Gaza, asema Israel inatenda ‘uhalifu wa vita’

Mwanazuoni mwandamizi Iran ataka dunia ikomeshe njaa Gaza, asema Israel inatenda ‘uhalifu wa vita’

IQNA – Mwanazuoni wa ngazi za juu wa Kiislamu kutoka Iran amewataka viongozi wa Kiislamu na Kiongozi wa Kanisa Katoliki kushikamana dhidi ya mzingiro...
24 Jul 2025, 10:02
Jaji wa Iran asisitiza uadilifu katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Malaysia

Jaji wa Iran asisitiza uadilifu katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Malaysia

IQNA – Mtaalamu mkongwe wa Qur’ani, Gholam Reza Shahmiveh, amezungumzia umuhimu wa uadilifu na kuwepo kwa Iran katika jopo la majaji wa Mashindano ya Kimataifa...
23 Jul 2025, 21:31
Sheikh Mkuu wa Al-Azhar atoa wito kwa dunia kusaidia Gaza kukabiliana na njaa

Sheikh Mkuu wa Al-Azhar atoa wito kwa dunia kusaidia Gaza kukabiliana na njaa

IQNA – Sheikh Ahmed al-Tayeb, Imamu Mkuu wa Al-Azhar, ametoaito wa dharura kwa jamii ya kimataifa kuingilia kati mara moja kuokoa watu wa Gaza dhidi ya...
23 Jul 2025, 21:21
Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai yapokea zaidi ya maombi 5,600 kwa toleo la 2026

Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai yapokea zaidi ya maombi 5,600 kwa toleo la 2026

IQNA – Toleo la 28 la Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai limevutia maombi 5,618 kutoka nchi 105, ikiwa ni idadi ya juu zaidi hadi sasa, ambapo...
23 Jul 2025, 21:07
Picha‎ - Filamu‎