IQNA

Imam Hussein (AS) katika Qur'an /4

Raj’a ya Imam Hussein (AS): Muendelezo wa Nusra ya Mwenyezi Mungu kwa Manabii na Waumini

IQNA – Nusra ya Mwenyezi Mungu hujitokeza kwa namna mbalimbali kwa manabii wa Mwenyezi Mungu na waumini wa kweli.
Imam Hussein (AS) katika Qur'an /3

Faida za Imani ya Raj’a katika mwamko wa Imam Hussein (AS)

IQNA – Imani juu ya Raj’a (kurejea duniani) katika mwamko wa Imam Hussein (AS) pamoja na masahaba wake waaminifu, hubeba baraka nyingi za kiroho na maadili.

Hizbullah yasisitiza kuwa haitajisalimisha

IQNA – Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Naim Qassem, amekataa wazo la kusalimisha au kuachana na silaha za harakati hiyo ya mapambano,...

Kuuawa Shahidi Siyo Mwisho Bali Ni Mwanzo wa Kuamsha Mataifa

IQNA – Utamaduni wa Ashura hauangalii kufa shahidi kama mwisho wa safari bali ni mwanzo wa kuamsho wa mataifa, amesema mwanazuoni kutoka Iran.
Habari Maalumu
Askari 40 Waisraeli waangamizwa na kujeruhiwa katika mapigano Gaza

Askari 40 Waisraeli waangamizwa na kujeruhiwa katika mapigano Gaza

IQNA-Kamanda mwandamizi wa Sarayal-Quds, tawi la kijeshi la Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina ametangaza kuwa, askari wapatao 40 wa jeshi la utawala...
05 Jul 2025, 18:15
Haram ya Imam Hussein (AS) imeandaa tukio la Tuwairaj siku ya Ashura

Haram ya Imam Hussein (AS) imeandaa tukio la Tuwairaj siku ya Ashura

IQNA – Wasimamizi wa Haram ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq wametangaza kukamilika kwa maandalizi katika milango yote ya kuingilia kaburi hilo takatifu...
05 Jul 2025, 18:29
Msomi maarufu wa Qur'ani Iran, Seyyed Mohammad Baqer Hojjat afariki akiwa na umri wa miaka 92
Inna Lillah wa Inna Ilahyi Rajioun

Msomi maarufu wa Qur'ani Iran, Seyyed Mohammad Baqer Hojjat afariki akiwa na umri wa miaka 92

IQNA - Mwanachuoni mashuhuri wa Qur'ani na Hadithi wa Iran, Hujjatul slam Dk. Seyyed Mohammad Baqer Hojjat, anayejulikana sana kama "Baba wa Sayansi ya...
04 Jul 2025, 19:05
Mifumo ya kupunguza joto  katika Haram ya Imam Hussein (AS) wakati wa Muharram

Mifumo ya kupunguza joto  katika Haram ya Imam Hussein (AS) wakati wa Muharram

IQNA – Idara ya kiufundi na uhandisi ya Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq imetangaza kutekelezwa kwa mradi maalumu wa kiyoyozi unaolenga...
04 Jul 2025, 18:53
Mwanamke Muislamu ashambuliwa Canada, avuliwa Hijabu  katika hujuma ya huki

Mwanamke Muislamu ashambuliwa Canada, avuliwa Hijabu katika hujuma ya huki

IQNA – Mwanamke Muislamu alishambuliwa kwa ukatili mahali pake pa kazi huko Oshawa, Ontario, Canada katika tukio ambalo viongozi wa jamii wanaitaka polisi...
04 Jul 2025, 18:30
Ufaransa yashuhudia kuongezeka kwa Matukio ya Chuki Dhidi ya Waislamu mwaka 2025

Ufaransa yashuhudia kuongezeka kwa Matukio ya Chuki Dhidi ya Waislamu mwaka 2025

IQNA – Mamlaka za Ufaransa zimeripoti ongezeko la asilimia 75 la matukio ya chuki dhidi ya Waislamu katika miezi mitano ya kwanza ya mwaka 2025, huku mashambulizi...
04 Jul 2025, 18:21
Ansarullah ya Yemen: Wazayuni wanaendeleza ukatili wao huko Gaza bila huruma

Ansarullah ya Yemen: Wazayuni wanaendeleza ukatili wao huko Gaza bila huruma

IQNA – Kiongozi wa harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Ansarullah nchini Yemen amelaani kuendelea kwa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya raia wasio...
04 Jul 2025, 18:13
Yale Qur’ani inasema kuhusu dhulma aliyoipata Imam Hussein (AS)
Imam Hussein (AS) katika Qur’an – Sehemu ya 2

Yale Qur’ani inasema kuhusu dhulma aliyoipata Imam Hussein (AS)

IQNA – Dhulma aliyoipata Imam Hussein (AS) ni ya wazi na ya kina kiasi kwamba inaweza kuchukuliwa kuwa ni taswira halisi ya baadhi ya aya tukufu za Qur’ani.
03 Jul 2025, 22:02
Wahifadhi wawili wa Qur’ani kuwakilisha Iran katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Saudia

Wahifadhi wawili wa Qur’ani kuwakilisha Iran katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Saudia

IQNA – Iran imetangaza majina ya wawakilishi wake katika mashindano ya kimataifa ya Qur’ani yatakayoandaliwa nchini Saudi Arabia.
03 Jul 2025, 22:35
Sheikh Issa Qassim: Vitisho dhidi ya Ayatullah Khamenei ni sawa na kuuvunjia heshima Umma wa Kiislamu

Sheikh Issa Qassim: Vitisho dhidi ya Ayatullah Khamenei ni sawa na kuuvunjia heshima Umma wa Kiislamu

IQNA: Kiongozi wa Waislamu wa Madhehebu ya Shia wa nchini Bahrain amelaani vikali kitendo cha Rais Donald Trump wa Marekani cha kumvunjia heshima na kumtishia...
03 Jul 2025, 22:16
Kiongozi wa Hizbullah: Utawala wa Israel umekiuka mapoatano ya usitihaji vita  zaidi ya mara 3,700.

Kiongozi wa Hizbullah: Utawala wa Israel umekiuka mapoatano ya usitihaji vita zaidi ya mara 3,700.

IQNA-Sheikh Naim Qassem, kiongozi wa harakati ya muqawama ya Lebanon Hizbullah ameeleza kuwa Israel si tu kuwa inaikalia kwa mabavu Palestina bali ni tishio...
03 Jul 2025, 22:12
Mapinduzi ya Imam Hussein (AS) yalikuwa ni kusimama dhidi ya unafiki na dhulma

Mapinduzi ya Imam Hussein (AS) yalikuwa ni kusimama dhidi ya unafiki na dhulma

IQNA – Mwanazuoni mashuhuri kutoka Iran amesisitiza umuhimu mkubwa wa mapinduzi ya Imam Hussein (AS) katika kufufua uhai wa Uislamu wa kweli na kufichua...
02 Jul 2025, 16:12
Ayatullah Makarem Shirazi:Mtazamo wa Magharibi kuhusu haki za binadamu hauna msingi wala maana

Ayatullah Makarem Shirazi:Mtazamo wa Magharibi kuhusu haki za binadamu hauna msingi wala maana

IQNA – Mwanazuoni wa ngazi za juu wa Kiislamu nchini Iran amekosoa mtazamo wa Magharibi kuhusu haki za binadamu na kusema “hauna msingi na hauna maana,”...
02 Jul 2025, 16:42
Wanawake Waislamu Marekani wawasilisha mashtaka baada ya kuvuliwa Hijabu  wakati wa maandamano

Wanawake Waislamu Marekani wawasilisha mashtaka baada ya kuvuliwa Hijabu wakati wa maandamano

IQNA – Mwanamke wawili Waislamu nchini Marekani wamewasilisha kesi dhidi ya Kaunti ya Orange na idara yake ya sheriff, wakidai kuwa maafisa walilazimisha...
02 Jul 2025, 16:24
Rais wa Uturuki akosoa picha ya kuvunjia heshima dini

Rais wa Uturuki akosoa picha ya kuvunjia heshima dini

IQNA – Kibonzo kilichoonekana kuwataja Manabii wa Mwenyezi Mungu kwa njia ya dhihaka kiliibua lawama nyingi nchini Uturuki, ikiwemo kutoka kwa Rais wa...
02 Jul 2025, 16:32
Indonesia kuendeleza msaada kwa shule za Kiislamu licha ya upungufu wa bajeti

Indonesia kuendeleza msaada kwa shule za Kiislamu licha ya upungufu wa bajeti

IQNA – Serikali ya Indonesia imeahidi kuwa changamoto za bajeti hazitasababisha kusitishwa kwa msaada kwa shule za Kiislamu nchini humo.
02 Jul 2025, 15:51
Picha‎ - Filamu‎