IQNA

Istighfar katika Qur’an Tukufu / 7

Tabia ya Watu wa Peponi Duniani

IQNA – Katika aya za Qur’ani Tukufu, Istighfar (kuomba msamaha wa Mwenyezi Mungu) imeelezwa kuwa miongoni mwa masharti ya kuingia Peponi na pia ni ada...

Nakala ya Qur’ani iIliyoandikwa kwa mkono na mkaligrafia mashuhuri yakabidhiwa ISESCO

IQNA – Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Ulimwengu wa Kiislamu (ISESCO) limepokea nakala adimu ya Qur’ani Tukufu iliyoandikwa kwa mkono wa Abu...

Sherehe katika kambi ya wakimbizi Gaza kuwaenzi wahifadhi Qur’ani 500

IQNA – Sherehe imefanyika katika Kambi ya Wakimbizi ya Al-Shati, magharibi mwa Gaza, kuadhimisha wanaume na wanawake 500 waliokamilisha kuhifadhi Qur’ani...

Watoto Waislamu wa Brazil Waanza Kozi ya Kuhifadhi Qur’ani huko Sao Paulo

IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Vila Cajon kilichoko Sao Paulo, mji mkuu wa kiuchumi wa Brazil, kimeandaa kozi ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu kwa watoto.
Habari Maalumu
Washiriki 170 katika hatua ya kwanza ya Mashindano ya Qur’an Tukufu Oman

Washiriki 170 katika hatua ya kwanza ya Mashindano ya Qur’an Tukufu Oman

IQNA – Takriban washiriki 170 wameingia katika hatua ya mwanzo ya mashindano ya kitaifa ya kuhifadhi Qur’an Tukufu nchini Oman.
27 Dec 2025, 18:49
Nabii Isa (Yesu) alizaliwa Iraq, siyo Bethlehem, asema mwanazuoni wa Kiiraqi
Mtazamo

Nabii Isa (Yesu) alizaliwa Iraq, siyo Bethlehem, asema mwanazuoni wa Kiiraqi

IQNA – Mwanazuoni wa Kiislamu wa madhehebu ya Shia kutoka Iraq anaamini kuwa tafiti mpya juu ya asili ya jina Buratha (mwana wa maajabu) na mawe ya ajabu...
26 Dec 2025, 22:22
Takriban watu 6 wameuawa katika hujuma kigaidi dhidi ya Msikiti wa Imam Ali wakati wa Sala ya Ijumaa Syria

Takriban watu 6 wameuawa katika hujuma kigaidi dhidi ya Msikiti wa Imam Ali wakati wa Sala ya Ijumaa Syria

Shambulio la kigaidi limewalenga waumini waliokuwa katika ibada ya Sala leo Ijumaa katika msikiti wa Imam Ali bin Abi Talib (AS) katika kitongoji cha Wadi...
26 Dec 2025, 22:41
UN yalaani hujuma ya kigaidi iliyoua  waumini msikitini Nigeria

UN yalaani hujuma ya kigaidi iliyoua waumini msikitini Nigeria

IQNA-Umoja wa Mataifa umelaani vikali shambulio la kigaidi lililotokea kwenye msikiti ulioko katika Soko la Gamboru, mjini Maiduguri, katika Jimbo la Borno...
26 Dec 2025, 19:26
Salamu za Krismasi za Rais wa Iran kwa Papa Leo wa Kanisa Katoliki

Salamu za Krismasi za Rais wa Iran kwa Papa Leo wa Kanisa Katoliki

IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu kwa Papa Leo wa XIV, kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, akimpongeza kwa mnasaba...
25 Dec 2025, 16:34
Mwandishi Mkristo: Kuendeleza maadili na upendo ni ujumbe wa Utume wa Isa na Muhammad (Amani Iwe Juu Yao)

Mwandishi Mkristo: Kuendeleza maadili na upendo ni ujumbe wa Utume wa Isa na Muhammad (Amani Iwe Juu Yao)

IQNA – Mwanafikra na msanii Mkristo kutoka Lebanon amesema Nabii Isa na Mtume Muhammad (rehema na amani ziwashukie) waliona jukumu lao kuwa ni kusimamisha...
25 Dec 2025, 16:52
Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Misri Wasoma Qur’ani kwa Sauti ya Pamoja + Video

Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Misri Wasoma Qur’ani kwa Sauti ya Pamoja + Video

IQNA – Wachezaji wa timu ya taifa ya kandanda ya Misri wamesoma aya za Qur’ani Tukufu kwa sauti ya pamoja kabla ya mechi dhidi ya Zimbabwe katika michuano...
25 Dec 2025, 12:44
Ujumbe wa Krismasi na Amani Kutoka kwa Mkuu wa ICRO

Ujumbe wa Krismasi na Amani Kutoka kwa Mkuu wa ICRO

IQNA – Katika ujumbe wake kwa viongozi na wafuasi wa Kanisa Katoliki, Mkuu wa Shirika la Iran la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu (ICRO), Hujjatul-Islam...
25 Dec 2025, 12:04
Kile kilichomchochea mwandishi wa Libya kuandika Ensaiklopidia ya Hadithi za Qur’ani

Kile kilichomchochea mwandishi wa Libya kuandika Ensaiklopidia ya Hadithi za Qur’ani

IQNA- Dr. Ali Muhammad Al-Salabi, mwandishi na mtafiti wa Libya, ndiye aliyeandika Ensaiklopidia ya Hadithi za Manabii katika Qur’anI Tukufu.
24 Dec 2025, 20:23
Mashindano ya Qur’ani kufanyika kwa kumbukumbu ya dada watatu Wamisri

Mashindano ya Qur’ani kufanyika kwa kumbukumbu ya dada watatu Wamisri

IQNA-Mashindano ya kuhifadhi na kusoma Qur’ani yatafanyika katika jimbo la Menoufia, Misri, kwa kumbukumbu ya dada watatu wadogo wa Kimasri waliopoteza...
24 Dec 2025, 20:17
Qari mashuhuri Sheikh Ahmed Nuaina asoma Qur’ani katika kipindi cha televisheni cha Misri

Qari mashuhuri Sheikh Ahmed Nuaina asoma Qur’ani katika kipindi cha televisheni cha Misri

IQNA-Ahmed Ahmed Nuaina, anayejulikana kama Sheikh al-Qurra (Kiongozi wa Maqari) wa Misri, alionekana katika kipindi cha vipaji cha taifa kiitwacho Dawlet...
24 Dec 2025, 20:09
Maktaba ya Al-Rawdha Al-Haidriya: Hazina Tajiri kwa Watu wa Dini na Elimu

Maktaba ya Al-Rawdha Al-Haidriya: Hazina Tajiri kwa Watu wa Dini na Elimu

IQNA-Kiongozi wa idara ya nakala za maandiko ya Maktaba ya Al-Rawdha Al-Haidriya, iliyo ndani ya Haram ya Imam Ali (AS) nchini Iraq, amesema kuwa maktaba...
24 Dec 2025, 20:05
Waislamu wa Australia wanaripoti kuongezeka chuki baada ya hujuma ya Bondi

Waislamu wa Australia wanaripoti kuongezeka chuki baada ya hujuma ya Bondi

IQNA-Baada ya mkasa wa Bondi uliouunganisha taifa katika huzuni, Waislamu wengi wa Australia wanakabiliwa na hali ya kutisha sambamba: kuongezeka kwa matusi...
24 Dec 2025, 19:22
Nafasi ya Istighfar katika kusamehewa dhambi na kuokolewa na moto wa jahannam
Istighfar katika Qur’ani Tukufu/ 6

Nafasi ya Istighfar katika kusamehewa dhambi na kuokolewa na moto wa jahannam

IQNA-Istighfar, yaani kuomba msamaha kwa Allah, ni ibada yenye athari nyingi katika maisha ya Mwislamu. Lengo kuu na la moja kwa moja la mwenye kuomba...
23 Dec 2025, 16:47
Nahj al-Balagha pamoja na Qur’ani kuzingatiwa katika Maonyesho ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani Tehran

Nahj al-Balagha pamoja na Qur’ani kuzingatiwa katika Maonyesho ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani Tehran

IQNA-Nahj al-Balagha, sambamba na Qur’ani Tukufu, litakuwa kiini cha Maonyesho ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani mjini Tehran.
23 Dec 2025, 16:36
Wizara ya Awqaf ya Qatar yazindua awamu ya tatu ya Mpango wa Qur’ani wa“Asaneed” kwa Maimam

Wizara ya Awqaf ya Qatar yazindua awamu ya tatu ya Mpango wa Qur’ani wa“Asaneed” kwa Maimam

IQNA – Baada ya mafanikio ya awamu zilizopita, Wizara ya Awqaf ya Qatar imezindua toleo la mwaka 2025–2026 la mpango wa “Asaneed” kwa lengo la kuboresha...
23 Dec 2025, 16:27
Picha‎ - Filamu‎