SHIRAZ (IQNA)- Mohammad Reza Shabeeh ni msanii mashuhuri wa Iran katika uga wa kuandika matini za Kiisalmu katika mawe na karakana yake iko katika mji wa Shiraz, mkoani Fars kusini mwa Iran.
TEHRAN (IQNA)- Msikiti wa Watu wa Yemen au Masjid al-Shaab ni msikiti mkubwa zaidi nchini Yemen. Msikiti huo ulio katika mji mkuu, Sana’a, ulifunguliwa mwaka 2008 na una ukubwa wa mita mraba 28,000 na una uwezo wa kubeba waumini 44,000.
TEHRAN (IQNA)- Makumi ya maelefu ya wafanyaziara kutoka Iran na nchi za kigeni wako katika mji Mtakatifu wa Mashhad kwa ajili ya kukumbuka siku ya kuzaliwa Imam Ridha AS