IQNA

Mhubiri wa Al-Aqsa Sheikh Sabri asema kesi yalenga kuwanyamazisha watetezi wa Msikiti

Mhubiri wa Al-Aqsa Sheikh Sabri asema kesi yalenga kuwanyamazisha watetezi wa Msikiti

IQNA – Sheikh Ekrima Sabri amesema mamlaka za Kizayuni zinapotosha dhana za Kiislamu kwa malengo ya kisiasa, wakati akikabiliwa na kesi mjini al-Quds kwa tuhuma za uchochezi.
17:49 , 2025 Nov 18
Kanuni ya Kiislamu ya ushirikiano katika nyanja za uchumi

Kanuni ya Kiislamu ya ushirikiano katika nyanja za uchumi

IQNA – Mojawapo ya matumizi muhimu ya kanuni ya ushirikiano ni katika uwanja wa uchumi, ingawa uhusiano kati ya kanuni ya ushirikiano katika Qur’ani na uchumi wa ushirika uko zaidi katika kiwango cha kufanana kwa maneno. Qur’ani inatoa msingi unaoweza kutumika katika nyanja mbalimbali, ikiwemo uchumi.
17:19 , 2025 Nov 18
Vipengele muhimu vya programu ya Qur’ani ya Misri Dawlat al-Tilawa

Vipengele muhimu vya programu ya Qur’ani ya Misri Dawlat al-Tilawa

IQNA – Kipindi cha kwanza cha televisheni Dawlat al-Tilawa kilizinduliwa Ijumaa nchini Misri, kikiwa safari mpya ya kugundua vipaji vinavyochipukia katika kisomo cha Qur’ani na Tajweed.
17:15 , 2025 Nov 18
Jamii za Kiislamu zinakabiliwa na mgogoro wa kimaadili, asema mwanazuoni

Jamii za Kiislamu zinakabiliwa na mgogoro wa kimaadili, asema mwanazuoni

IQNA – Mwanafalsafa kutoka Algeria amesema jamii za Kiislamu zinakabiliwa na mgogoro wa kimaadili unaotishia familia na kupotosha ufahamu wa Kiislamu kuhusu wanawake, maadili na uhalisia wa kisasa.
17:09 , 2025 Nov 18
Qari Mashuhuri wa Iran Atoa Wito wa “Ubunifu wa Kiheshima” Katika Kisomo cha Qur’ani

Qari Mashuhuri wa Iran Atoa Wito wa “Ubunifu wa Kiheshima” Katika Kisomo cha Qur’ani

IQNA – Qari wa kimataifa kutoka Iran amesema kuwa kisomo cha mashindano mengi kina upungufu wa kina cha hisia, na ametoa rai ya kuwepo kwa viwango vya wazi vitakavyosaidia kuelekeza ubunifu katika kisomo cha Qur’ani Tukufu.
17:01 , 2025 Nov 18
Maqari wa Haram ya Imam Hussein (AS) wang’aa katika Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani kwa Wanawake nchini Iraq

Maqari wa Haram ya Imam Hussein (AS) wang’aa katika Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani kwa Wanawake nchini Iraq

IQNA – Maqari wa kike wa Qur’ani kutoka Dar-ul-Qur’an ya Astan ya Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) wameibuka washindi katika mashindano ya saba ya kitaifa ya wanawake wa Qur’ani nchini Iraq.
14:42 , 2025 Nov 17
Mashindano ya Qur’ani ya Nepal yafikia fainali mjini Katmandu

Mashindano ya Qur’ani ya Nepal yafikia fainali mjini Katmandu

IQNA-Duru ya tatu kwa mashindano ya kila mwaka ya Qur’ani nchini Nepal imeingia hatua ya mwisho, Jumapili. Wizara ya Mambo ya Kiislamu, Da‘wa na Mwongozo ya Saudi Arabia imezindua raundi ya mwisho ya mashindano ya kuhifadhi Qur’ani kwa wavulana na wasichana katika mji mkuu wa Katmandu, ulioko Asia Kusini.
14:37 , 2025 Nov 17
Dunia ya leo yahitaji ujumbe wa Rumi zaidi kuliko wakati Wowote

Dunia ya leo yahitaji ujumbe wa Rumi zaidi kuliko wakati Wowote

IQNA – Wazungumzaji katika mkutano kuhusu Maulana Jalaluddin Rumi uliofanyika Kuala Lumpur, Malaysia, wameangazia namna dunia ya sasa inavyohitaji mafundisho ya mshairi na sufi huyo mkubwa wa Kiirani.
11:21 , 2025 Nov 17
Wanafunzi wa Iran waanza safari ya Umrah kuelekea ardhi ya Wahyi

Wanafunzi wa Iran waanza safari ya Umrah kuelekea ardhi ya Wahyi

IQNA – Hafla ya kuaga kundi la kwanza la wanafunzi wanaoelekea katika ibada ya Hija ndogo ya Umrah kutoka vyuo vikuu imefanyika mjini Tehran Jumapili, katika kituo cha Salam cha Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Imam Khomeini.
11:10 , 2025 Nov 17
Mufti Mkuu wa Oman ataka Israel ilazimishwe isitishe ukiukaji wa makubaliano ya Gaza

Mufti Mkuu wa Oman ataka Israel ilazimishwe isitishe ukiukaji wa makubaliano ya Gaza

IQNA – Mufti Mkuu wa Oman ametoa wito kwa jumuiya ya kimataifa na nchi za Kiislamu kuushinikiza utawala wa Kizayuni kusitisha ukiukaji wa makubaliano ya kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza.
11:03 , 2025 Nov 17
Kumbukumbu ya Qari Mahmud Khalil al‑Hussary katika Televisheni ya Misri

Kumbukumbu ya Qari Mahmud Khalil al‑Hussary katika Televisheni ya Misri

IQNA – Kipindi cha televisheni Dawlet El Telawa, mashindano maalum ya vipaji vya usomaji wa Qur’ani nchini Misri, kimemkumbuka Qari maarufu Sheikh Mahmud Khalil al‑Hussary.
15:45 , 2025 Nov 16
Kikao cha Sharjah kuhusu maandishi ya Qur'ani Tukufu katika dunia ya kidijitali

Kikao cha Sharjah kuhusu maandishi ya Qur'ani Tukufu katika dunia ya kidijitali

IQNA – Je, ni vipi maandishi ya kidini kama Qur’ani Tukufu  yanaweza kuthibitishwa kuwa sahihi na kusomwa kwa kutumia akili mnemba (AI) ya kisasa?
15:37 , 2025 Nov 16
Mkutano wa Tabriz–Vienna kujadili mustakabali wa dunia na changamoto mpya za falsafa

Mkutano wa Tabriz–Vienna kujadili mustakabali wa dunia na changamoto mpya za falsafa

IQNA – Mkutano wa kimataifa kuhusu mustakabali wa dunia na masuala mapya ya kifalsafa utafanyika mtandaoni tarehe 20 Novemba, sambamba na Siku ya Falsafa Duniani.
15:18 , 2025 Nov 16
Vehbi Ismail Haki; Mwanzo wa Uchapishaji wa Maarifa ya Qur’ani kwa Kialbania

Vehbi Ismail Haki; Mwanzo wa Uchapishaji wa Maarifa ya Qur’ani kwa Kialbania

IQNA-Vehbi Ismail Haki (1919–2008) alikuwa mwandishi, imam na msomi mashuhuri kutoka Albania aliyechangia pakubwa kusambaza utamaduni wa Kiislamu na maarifa ya Qur’ani kwa watu wa taifa lake kupitia maandiko kwa Kiarabu, Kiingereza na Kialbania. Alizaliwa Shkodra, mji wa kaskazini wenye historia ndefu ya elimu ya Kiislamu tangu enzi za Waothmani.
15:06 , 2025 Nov 16
Chuo Kikuu cha Columbia chalaani kuhujumiwa mwanafunzi Muislamu

Chuo Kikuu cha Columbia chalaani kuhujumiwa mwanafunzi Muislamu

IQNA – Baada ya tukio la uhalifu wa chuki lililoripotiwa ambapo dada Muislamu alivamiwa na kufuatwa karibu na Chuo Kikuu cha Columbia kwa sababu ya kuvaa niqab, taasisi hiyo imetoa tamko la kulaani shambulio hilo hadharani.
14:47 , 2025 Nov 16
1