IQNA

Rais wa Somalia: Israel inataka kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina hadi 'Somaliland'

Rais wa Somalia: Israel inataka kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina hadi 'Somaliland'

IQNA-Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia amezinukuu ripoti za kiitelijinsia na kusema kuwa eneo lililojitenga la na nchi hiyo la Somaliland limekubali kuwapokea Wapalestina na kuanzishwa kambi ya kijeshi ya Israel katika eneo hilo mkabala wa kutambuliwa rasmi na Israel.
15:44 , 2026 Jan 01
Israel yalaaniwa kwa kupiga marufuku mashirika ya misaada Gaza

Israel yalaaniwa kwa kupiga marufuku mashirika ya misaada Gaza

IQNA – Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia wakimbizi wa Kipalestina ameonya kwamba vizuizi vipya vilivyowekwa na Israel vinakwamisha kabisa usambazaji wa misaada huko Gaza, vinazidisha hali ya njaa na kuweka “mfano hatari” kwa shughuli za kibinadamu duniani kote.
15:10 , 2026 Jan 01
Somaliland: Mradi wa Pamoja wa Utawala wa Kizayuni na UAE

Somaliland: Mradi wa Pamoja wa Utawala wa Kizayuni na UAE

IQNA-Hatua ya kichokozi ya utawala wa Kizayuni wa Israel kutambua eneo la Somalia la 'Somaliland' kama nchi huuru kunahusishwa na mradi mpana zaidi wa kuchora upya ramani ya ushawishi katika Pembe ya Afrika na Bahari Nyekundu, mradi unaoendeshwa kwa misukumo ya kiusalama kwa ushirikiano wa utawala wa Israel na pia Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
15:02 , 2026 Jan 01
Akiwa ameshika Qur’ani Tukufu, Mamdani aandika historia kama meya Mwislamu wa jiji la New York

Akiwa ameshika Qur’ani Tukufu, Mamdani aandika historia kama meya Mwislamu wa jiji la New York

IQNA – Katika hafla iliyovunja desturi za karne nyingi, Zohran Mamdani alianza rasmi muhula wake kama meya wa Jiji la New York siku ya Alhamisi kwa kuapa akiwa ameshika Qur’an Tukufu, tukio la kihistoria kwa Waislamu na kwa mandhari ya kisiasa ya jiji hilo kubwa.
14:19 , 2026 Jan 01
Kituo Kipya cha Kuhifadhi Qur’ani Chazinduliwa Somalia

Kituo Kipya cha Kuhifadhi Qur’ani Chazinduliwa Somalia

IQNA – Kituo kipya cha kuhifadhi Qur’an kimefunguliwa katika eneo la Kahda, jimbo la Banadir, Somalia.
15:05 , 2025 Dec 31
Al-Azhar na Radio ya Qur’ani Misri Kuandaa Kurekodi Qiraa Mpya

Al-Azhar na Radio ya Qur’ani Misri Kuandaa Kurekodi Qiraa Mpya

IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri pamoja na Radio ya Qur’ani ya taifa hilo, hivi karibuni wataanza mradi wa kurekodi qiraa mpya za Qur’an Tukufu.
14:51 , 2025 Dec 31
Siku ya Krismasi, Msikiti wa Bradford Wakuwa Kitovu cha Jamii

Siku ya Krismasi, Msikiti wa Bradford Wakuwa Kitovu cha Jamii

IQNA – Wakati wengi walikusanyika na familia zao, milango ya msikiti mmoja mjini Bradford, kaskazini mwa Uingereza, ilifunguliwa kuwapokea wale ambao vinginevyo wangebaki peke yao.
14:43 , 2025 Dec 31
Maadhimisho Karbala Yasherehekea Kuzaliwa kwa Imam Jawad (AS)

Maadhimisho Karbala Yasherehekea Kuzaliwa kwa Imam Jawad (AS)

IQNA – Haramu tukufu ya Hadhrat Abbas (AS) mjini Karbala, Iraq, imeandaa sherehe ya kila mwaka kwa heshima ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Imam Jawad (AS).
14:37 , 2025 Dec 31
Haramu ya Najaf yapambwa kwa maua kabla ya Maadhimisho ya Kuzaliwa kwa Imam Ali (AS)

Haramu ya Najaf yapambwa kwa maua kabla ya Maadhimisho ya Kuzaliwa kwa Imam Ali (AS)

IQNA – Haramu tukufu ya Imam Ali (AS) mjini Najaf, Iraq, imepambwa kwa maua mengi kwa heshima ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Imam wa kwanza wa Waislamu wa madhehebu ya Shia.
14:21 , 2025 Dec 31
Klipu | Ujitolee kwake kwa ukamilifu

Klipu | Ujitolee kwake kwa ukamilifu

IQNA- Katika dunia ya leo yenye pilika pilika nyingi na mwendo wa haraka, wakati mwingine tunahitaji kusimama kwa muda mfupi na kupata utulivu. Mfululizo wa "Sauti ya Wahyi" kwa kuchagua baadhi ya aya kwenye Qur'ani Tukufu na sauti ya kupendeza ya Ustadh Behrouz Razawi, ni mwaliko wa safari ya kiroho na yenye kuinua roho. Mfululizo huu mfupi lakini wenye maudhui ya kina, unawaletea nyakati za utulivu na matumaini.
14:53 , 2025 Dec 30
Nafasi ya Istighfar Katika Kuvuta Rehema za Mwenyezi Mungu

Nafasi ya Istighfar Katika Kuvuta Rehema za Mwenyezi Mungu

IQNA – Athari za Istighfar (kuomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu) hazihusiani tu na kusamehewa dhambi, bali pia huondoa vizuizi vinavyokwamisha baraka na rehema za Mwenyezi Mungu kumfikia mwanadamu.
14:44 , 2025 Dec 30
Nchi 48 zashiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Algeria

Nchi 48 zashiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Algeria

IQNA – Mashindano ya 21 ya Kimataifa ya Qur’ani nchini Algeria yameanza kwa ushiriki wa wawakilishi kutoka zaidi ya nchi 48.
14:38 , 2025 Dec 30
Wahifadhi Qur’ani wa kike waenziwa katika kambi ya wakimbizi Gaza

Wahifadhi Qur’ani wa kike waenziwa katika kambi ya wakimbizi Gaza

IQNA – Hafla maalumu imefanyika Gaza kuadhimisha mahafali ya wanafunzi kadhaa wa kike waliokamilisha kuhifadhi Qur’ani Tukufu.
14:31 , 2025 Dec 30
Wajumbe wa Baraza la Sera la Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tehran watangazwa

Wajumbe wa Baraza la Sera la Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tehran watangazwa

IQNA – Waziri wa Utamaduni na Mwongozo wa Kiislamu wa Iran ametangaza jina la mwenyekiti wa Maonyesho ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani mjini Tehran, pamoja na wajumbe wengine wa baraza la kutunga sera za hafla hiyo.
14:13 , 2025 Dec 30
Kikao cha Khatmul Qur’an chafanyika Oman jijini Salalah

Kikao cha Khatmul Qur’an chafanyika Oman jijini Salalah

IQNA – Hafla ya Khatm Qur’an imefanyika katika mji wa Salalah, Oman, ikihusisha washiriki 110 waliokuwa wamehifadhi Qur’ani Tukufu.
14:01 , 2025 Dec 30
1