IQNA

Washiriki wa Mashindano ya Qur'ani Tanzania watunukiwa zawadi

Washiriki wa Mashindano ya Qur'ani Tanzania watunukiwa zawadi

IQNA – Mashindano ya Qur'ani nchini Tanzania hivi karibuni yalimalizika katika hafla mbili, moja kwa wanaume na nyingine kwa wanawake, ambapo washindi wa juu katika makundi tofauti walitunukiwa zawadi. 
23:23 , 2025 Mar 17
Balozi wa Qur'ani wa Iran: Diplomasia ya Qur'ani ni Daraja Kati ya Mataifa

Balozi wa Qur'ani wa Iran: Diplomasia ya Qur'ani ni Daraja Kati ya Mataifa

IQNA – Qari mashuhuri wa Iran, Hamed Shakernejad, amesisitiza umuhimu wa diplomasia ya Qur'ani, akiiita daraja kati ya mataifa.
14:01 , 2025 Mar 17
Katika Picha: Wafanyaziara Wanafuturu Katika Msikiti wa Jamkaran

Katika Picha: Wafanyaziara Wanafuturu Katika Msikiti wa Jamkaran

IQNA – Watu wanaotembelea Msikiti wa Jamkaran huko Qom, Iran, wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, wanafungua saumu yao msikitini baada ya adhana ya Magharibi.
13:54 , 2025 Mar 17
Rais wa Iran atoa wito wa kutekeleza Mafundisho ya Qur'ani katika maisha ya kila siku

Rais wa Iran atoa wito wa kutekeleza Mafundisho ya Qur'ani katika maisha ya kila siku

IQNA – Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, ametoa wito wa kuziba pengo kati ya maarifa ya Qur'ani na utekelezaji wake katika jamii.
12:13 , 2025 Mar 17
Maonyesho ya 32 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran yamalizika

Maonyesho ya 32 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran yamalizika

IQNA – Maonyesho ya 32 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran yalimalizika jana usiku baada ya kudumu kwa siku 12, ambapo waandaaji walisisitiza mafanikio yake katika kukuza utambulisho wa kidini na kuonyesha mafanikio ya Quran.
11:51 , 2025 Mar 17
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 16

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 16

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
08:47 , 2025 Mar 17
Juzuu ya 16 - Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani

Juzuu ya 16 - Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani

IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 16 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na Hamidreza Ahmadivafa wa Iran. Jiunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.
08:44 , 2025 Mar 17
Tuzo ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur'ani ya Al-Ameed: Maqari wa Iran Wafuzu kwa Awamu ya Pili 

Tuzo ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur'ani ya Al-Ameed: Maqari wa Iran Wafuzu kwa Awamu ya Pili 

IQNA – Kufuatia hitimisho la hatua ya kwanza ya Tuzo ya 2 ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur'ani ya Al-Ameed, waandaaji wametangaza wale waliopita hadi awamu ya pili. 
21:13 , 2025 Mar 16
Mwanazuoni: Vijana Waislamu wazingatie mafunzo ya Qur'ani na Ahl-ul-Bayt

Mwanazuoni: Vijana Waislamu wazingatie mafunzo ya Qur'ani na Ahl-ul-Bayt

IQNA – Mtu anapaswa kuepuka kuchochea tofauti, badala yake ajikite katika kuhimiza mazungumzo miongoni mwa vijana Waislamu kwa misingi ya mafunzo ya Qur'ani na Ahl-ul-Bayt (AS), amesema mwanazuoni wa Kiiraqi. 
20:52 , 2025 Mar 16
Iran ina azma ya kuendeleza ushirikiano wa Qur’ani na Indonesia

Iran ina azma ya kuendeleza ushirikiano wa Qur’ani na Indonesia

IQNA – Balozi wa Iran nchini Indonesia amesisitiza shauku ya Jamhuri ya Kiislamu ya kupanua ushirikiano wa Qur’ani na nchi hiyo ya Kusini-Mashariki mwa Asia. 
20:41 , 2025 Mar 16
Yemen yaapa kujibu mashambulizi ya Marekani ambayo yameua raia 24

Yemen yaapa kujibu mashambulizi ya Marekani ambayo yameua raia 24

IQNA – Harakati ya Ansarullah ya Yemen imeahidi kujibu uchokozi wa kijeshi wa hivi karibuni wa Marekani, kufuatia mashambulizi ya angani ya Marekani na Uingereza ambayo yalilenga maeneo kadhaa kote nchini, ikiwemo mji mkuu, Sanaa, na jimbo la kaskazini la Saada.
09:39 , 2025 Mar 16
Juzuu ya 15 - Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani

Juzuu ya 15 - Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani

IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 15 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na maqari wafuatao kutoka Iran: Ahmad Abolghasemi, Aliakbar Malekshahi, Mojtaba Parvizi, na Wahid Barati. Jiunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.
06:14 , 2025 Mar 16
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 15

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 15

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
06:11 , 2025 Mar 16
Washindi wa Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani nchini Somalia Wametunukiwa

Washindi wa Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani nchini Somalia Wametunukiwa

IQNA – Washindi wakuu wa Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu nchini Somalia wametunukiwa zawadi katika hafla iliyohudhuriwa na Rais Hassan Sheikh Mohamud.
15:59 , 2025 Mar 15
Misikiti yatoa kozi za Qur'ani wakati wa Ramadhani nchini Kosovo

Misikiti yatoa kozi za Qur'ani wakati wa Ramadhani nchini Kosovo

IQNA – Katika mwezi mtukufu wa Ramadhani, misikiti nchini Kosovo imepiga hatua kubwa katika kufundisha Qur'ani kwa watoto.
15:55 , 2025 Mar 15
1