IQNA – Katika Surah Hud, baada ya kueleza visa vya baadhi ya manabii wakubwa wa Mwenyezi Mungu – akiwemo Nuhu, Hud, Swaleh, na Shu’ayb (amani iwashukie wote) – na namna walivyomtegemea Mwenyezi Mungu (Tawakkul) licha ya dhuluma na mateso kutoka kwa watu wao, Qur’ani Tukufu inamaliza kwa ujumbe wa ajabu, mfupi lakini wenye uzito mkubwa wa kiroho na kielimu.
11:43 , 2025 Apr 07