IQNA

Kumtegemea Mwenyezi Mungu: Mafunzo kutoka kwa Manabii

Kumtegemea Mwenyezi Mungu: Mafunzo kutoka kwa Manabii

IQNA – Katika Surah Hud, baada ya kueleza visa vya baadhi ya manabii wakubwa wa Mwenyezi Mungu – akiwemo Nuhu, Hud, Swaleh, na Shu’ayb (amani iwashukie wote) – na namna walivyomtegemea Mwenyezi Mungu (Tawakkul) licha ya dhuluma na mateso kutoka kwa watu wao, Qur’ani Tukufu inamaliza kwa ujumbe wa ajabu, mfupi lakini wenye uzito mkubwa wa kiroho na kielimu.
11:43 , 2025 Apr 07
Idadi ya misikiti nchini Tunisia imepindukia 5,000

Idadi ya misikiti nchini Tunisia imepindukia 5,000

IQNA – Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kidini ya Tunisia imetangaza kuwa idadi ya misikiti nchini humo sasa imevuka 5,000, ikithibitisha nafasi ya kipekee ya nchi hiyo katika historia ya Uislamu.
10:50 , 2025 Apr 07
Mus’haf wa karne nne wavutia umma Kaskazini mwa Iraq

Mus’haf wa karne nne wavutia umma Kaskazini mwa Iraq

IQNA-Katika kijiji kidogo cha Gelezerde, pembezoni mwa mji wa Sulaymaniyah, kaskazini mwa Iraq, kuna nakala ya Qur’ani Tukufu (Mus’haf) ambayo haiwezi kupuuzwa – sio tu kwa uzuri wake wa kale, bali kwa thamani yake ya kiroho, kihistoria na kitamaduni.
10:37 , 2025 Apr 07
Msikiti Mkubwa wa Sydney wawasilisha ombi la kuadhini kwa vipaza  sauti

Msikiti Mkubwa wa Sydney wawasilisha ombi la kuadhini kwa vipaza sauti

IQNA – Msikiti mmoja mkubwa nchini Australia umeomba rasmi ruhusa ya kuanza kutumia vipaza sauti kuadhini katika kitongoji cha Lakemba, jiji la Sydney.
10:20 , 2025 Apr 07
Yafahamu Masharti ya Tawakkul 

Yafahamu Masharti ya Tawakkul 

IQNA – Masharti ya kifalsafa ya Tawakkul yanahusiana na ufahamu na imani ambayo mtu lazima awe nayo kuhusiana na Mwenyezi Mungu. 
22:22 , 2025 Apr 06
Al-Azhar Yapinga Uchapishaji wa nakala  za Qur'ani zenye rangi kadhaa

Al-Azhar Yapinga Uchapishaji wa nakala za Qur'ani zenye rangi kadhaa

IQNA – Katibu Mkuu wa Baraza la Utafiti wa Kiislamu linalohusiana na Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar, kwa mara nyingine amebainisha upinzani wa baraza hilo dhidi ya uchapishaji wa nakala za Qur'ani zenye rangi kadhaa nchini Misri. 
22:06 , 2025 Apr 06
Waliohudumia Mikusanyiko ya Qur'ani Mwezi wa Ramadhani Waenziwa

Waliohudumia Mikusanyiko ya Qur'ani Mwezi wa Ramadhani Waenziwa

IQNA – Mamlaka ya Haram ya Imam Hussein (AS) huko Karbala imewatambua waliofanikisha mikusanyiko ya Qur'ani katika mwezi mtukufu wa Ramadhani. 
21:51 , 2025 Apr 06
Mvua ya Machipuo Yaleta Hewa Safi Tehran

Mvua ya Machipuo Yaleta Hewa Safi Tehran

IQNA – Mvua nyepesi ya majira ya machipuo imenyesha mjini Tehran mnamo Aprili 5, 2025, ikileta hali ya utulivu na uzuri upya kwa mji mkuu wa kihistoria wa Iran.
14:36 , 2025 Apr 06
Kozi ya Mafunzo ya Ualimu wa Kuhifadhi Qur'an Yafanyika Madagascar 

Kozi ya Mafunzo ya Ualimu wa Kuhifadhi Qur'an Yafanyika Madagascar 

IQNA – Mwanaharakati wa Kiirani wa Qur'ani Tukufu ameongoza kozi ya mafunzo ya ualimu wa kuhifadhi Qur'an wakati wa ziara yake nchini Madagascar. 
14:29 , 2025 Apr 06
Wanachuo zaidi ya 1,000 kutoka nchi 25 washiriki mpango wa kuhifadhi na Kufasiri Qur’ani

Wanachuo zaidi ya 1,000 kutoka nchi 25 washiriki mpango wa kuhifadhi na Kufasiri Qur’ani

IQNA – Wanachuo wa kiume na wa kike wa Qur’ani zaidi ya 1,000 wameshiriki katika mpango wa kimataifa wa kuhifadhi na kufasiri Surah Sad uliofanyika mjini Qom, Iran.
17:30 , 2025 Apr 05
Mwana kaligrafia wa Libya avuka changamoto kuandika Qur’ani kwa mkono

Mwana kaligrafia wa Libya avuka changamoto kuandika Qur’ani kwa mkono

IQNA-Mkaligrafia wa Libya, Al-Sharif Al-Zanati, amefanikisha ndoto yake ya maisha ya kuandika Qur'ani Tukufu kwa mkono, licha ya changamoto za kibinafsi na kitaaluma.
17:24 , 2025 Apr 05
Mufti wa Oman akosoa kimya kuhusu jinai za Israel dhidi ya Gaza

Mufti wa Oman akosoa kimya kuhusu jinai za Israel dhidi ya Gaza

IQNA-Mufti Mkuu wa Oman, Sheikh Ahmed al-Khalili, amekosoa vikali kimya kinachoonyeshwa mbele ya jinai za kinyama zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
16:06 , 2025 Apr 05
Wanazuoni wa Kiislamu Watoa Fatwa ya Jihad Dhidi ya Israel

Wanazuoni wa Kiislamu Watoa Fatwa ya Jihad Dhidi ya Israel

IQNA-Kamati ya Ijtihad na Fatwa ya taasisi moja ya kimataifa ya wanazuoni Kiislamu imesisitiza kuwa kuanzisha Jihad dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Isarel unaoendeleza mauaji ya kimbari dhidi ya watu wa Gaza ni wajibu wa Kiislamu.
15:47 , 2025 Apr 05
Msikiti wa Kabood wa Tabriz, uliojengwa  miaka 500 iliyopita

Msikiti wa Kabood wa Tabriz, uliojengwa miaka 500 iliyopita

IQNA – Msikiti wa Kabud (Masjid Kabood) huko Tabriz, Iran, umejengwa kwa sanaa ya kihistoria ya usanifu, maarufu kwa kazi yake ya kina ya vigae na historia yake tajiri.
14:25 , 2025 Apr 05
Video | Tilawa ya Mowahhed Amin katika Swala ya Idul Fitr Tehran

Video | Tilawa ya Mowahhed Amin katika Swala ya Idul Fitr Tehran

IQNA- Ustadh Hadi Mowahhed Amin, qari wa kimataifa wa Iran, asubuhi ya Mosi Shawwal 1446 Hijria (31 Machi 2025) katika mwanzo wa hafla ya Swala ya Idul Fitr jijini Tehran, alisoma aya za Surah ya Al-A‘laa katika Qur'ani Tukufu. Swala hiyo iliswalishwa na Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.
14:46 , 2025 Apr 04
6