IQNA

Rekodi mpya ya waliosilimu Kuwait katika Mwezi wa Ramadhani

Rekodi mpya ya waliosilimu Kuwait katika Mwezi wa Ramadhani

IQNA – Katika mwezi Mtukufu wa Ramadhani wa mwaka 1446 Hijria (2025) , Kuwait imesema imeshuhudia ongezeko la ajabu la watu wanaokumbatia Uislamu.
14:40 , 2025 Apr 04
Mauaji Gaza: Shambulio la Israel laua watu 100 wakiwemo watoto wengi

Mauaji Gaza: Shambulio la Israel laua watu 100 wakiwemo watoto wengi

IQNA – Mashambulizi ya anga ya utawala katili wa Israel katika Ukanda wa Gaza unaozingirwa yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 100, wakiwemo 33 waliokuwa wakijisitiri katika shule.
14:33 , 2025 Apr 04
Wanamichezo wakosoa mpango wa Ufaransa kupiga marufuku Hijabu katika mashindano

Wanamichezo wakosoa mpango wa Ufaransa kupiga marufuku Hijabu katika mashindano

IQNA – Wanamichezo wanawake wa Kiislamu nchini Ufaransa wamejitokeza kupinga muswada mpya wa sheria unaolenga kupiga marufuku uvaaji wa Hijabu katika mashindano ya michezo ya kitaifa, wakisema hatua hiyo inakiuka uhuru wa dini na kujieleza.
14:23 , 2025 Apr 04
IRGC: Muqawama utakatisha uhai wa utawala ghasibu wa Kizayuni

IRGC: Muqawama utakatisha uhai wa utawala ghasibu wa Kizayuni

IQNA-Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la nchini Iran (IRGC) limetoa taarifa na kutangaza kuwa kambi ya Muqawama, hususan wanamapambano shupavu na mashujaa wa Palestina, hatimaye itamaliza na kuyakatisha maisha ya aibu ya utawala wa Kizayuni wa Israel ambao unakaliwa ardhi za Palestina kwa mabavu.
14:13 , 2025 Apr 04
Nchi za Kiislamu zinaweza kujiletea amani

Nchi za Kiislamu zinaweza kujiletea amani

IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudia na kusisitiza kwa kusema: "Nina imani kwamba kama nchi za Kiislamu zitafanya kazi kwa pamoja, zinaweza kuleta usalama na ustawi bora katika eneo hili."
14:06 , 2025 Apr 04
Waziri wa Israel alaaniwa kwa kuhujumu Msikiti wa Al-Aqsa

Waziri wa Israel alaaniwa kwa kuhujumu Msikiti wa Al-Aqsa

IQNA – Wapalestina pamoja na nchi za eneo la Asia Magharibi zimelaani vikali uvamizi wa waziri wa mrengo wa kulia wa utawala ghasibu wa Israel, Itamar Ben-Gvir, kwenye uwanja wa Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
20:35 , 2025 Apr 03
Jinsi ya Kudumisha Manufaa ya Kiroho ya Ramadhani Baada ya Mwezi Kumalizika (Sehemu ya 3)

Jinsi ya Kudumisha Manufaa ya Kiroho ya Ramadhani Baada ya Mwezi Kumalizika (Sehemu ya 3)

IQNA – Katika Khutbah Sha'baniyah yake, Mtume Muhammad (SAW) alisisitiza kuwa kitendo bora zaidi katika mwezi mtukufu wa Ramadhani ni kujiepusha na yale ambayo Mwenyezi Mungu ameyakataza. 
20:42 , 2025 Apr 02
Bi kizee wa Malaysia wa miaka 117 asherehekea Idul Fitr, aendelea kusoma Qur'ani

Bi kizee wa Malaysia wa miaka 117 asherehekea Idul Fitr, aendelea kusoma Qur'ani

IQNA – Bi kizee mwenye umri wa miaka 117, anayeaminika kuwa miongoni mwa wazee zaidi nchini Malaysia, ameonyesha shukrani kwa kuwa na uwezo wa kusherehekea Idul Fitr nyingine akiwa na familia yake.
20:18 , 2025 Apr 02
Mashindano ya Qur'ani ya Thaqalayn TV yamalizika

Mashindano ya Qur'ani ya Thaqalayn TV yamalizika

IQNA – Toleo la pili la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya "Wa Rattil," yaliyoandaliwa  na Thaqalayn TV, limehitimishwa mwishoni mwa mwezi mtukufu wa Ramadhani, likiwashirikisha washiriki kutoka mataifa mbalimbali wakiwania nafasi za juu. 
20:02 , 2025 Apr 02
Israel yaendeleza jinai Gaza,  yaua watoto zaidi ya 300 wiki mbili

Israel yaendeleza jinai Gaza,  yaua watoto zaidi ya 300 wiki mbili

IQNA – Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limeripoti kuwa zaidi ya watoto 300 wameuawa Gaza tangu vikosi vya utawala wa Kizayuni wa Israel vilipoanza upya vita mnamo Machi 18.  
19:41 , 2025 Apr 02
Jinsi ya kudumisha manufaa ya kiroho ya Ramadhani baada ya mwezi kumalizika (Sehemu ya 2)

Jinsi ya kudumisha manufaa ya kiroho ya Ramadhani baada ya mwezi kumalizika (Sehemu ya 2)

IQNA – Ili kukuza tabia njema, mpango wa mwaka mzima ni muhimu, na wakati bora wa kuanza ni mwishoni mwa mwezi mtukufu Ramadhani.
19:47 , 2025 Apr 01
Mtoto wa Malaysia wa miaka 10 afanikiwa kama Muadhini licha ya ulemavu wa macho

Mtoto wa Malaysia wa miaka 10 afanikiwa kama Muadhini licha ya ulemavu wa macho

IQNA – Licha ya ulemavu wa machi, Muhammad Hafizuddin Muhammad Amirul Hakim Linges mwenye umri wa miaka 10 ana uwezo wa kipekee.
19:13 , 2025 Apr 01
Uingereza: Jumuiya ya Kiislamu ya Altrincham & Hale kujenga kituo kipya cha Kiislamu

Uingereza: Jumuiya ya Kiislamu ya Altrincham & Hale kujenga kituo kipya cha Kiislamu

IQNA – Jumuiya ya Kiislamu ya Altrincham & Hale imetangaza mipango ya kuhamia kutoka eneo lake la sasa kwenye Grove Lane kwenda kwenye Kituo cha Kiislamu na msikiti kilichojengwa mahsusi kwenye Thorley Lane huko Timperley. 
18:34 , 2025 Apr 01
Taswira za Sikuukuu ya Idul Fitr duniani kote

Taswira za Sikuukuu ya Idul Fitr duniani kote

IQNA – Waislamu kote ulimwenguni walisherehekea Idul Fitr mnamo Machi 30 na 31, wakihitimisha mwezi Mtukufu wa Ramadhani ambao ni mwezi wa kufunga, kukithirhsa swala, qiraa ya Qur'ani na ukarimu. Zifuatazo ni picha za Idi kutoka nchi mbali mbali.
18:13 , 2025 Apr 01
Juzuu ya 30- Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani

Juzuu ya 30- Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani

IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 30 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na maqari wafuatao kutoka Iran: Masoud Nouri, Seyyed Hossein Mousavi Baladeh, Mohammadreza Purzargari, na Mahdi Gholamnejad.. Tunakushukuru kwa kujiunga na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani katika safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ambapo tumeweza kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.
11:51 , 2025 Apr 01
7