IQNA

Shiriki mkutano wa kimataifa Tehran kuhusu uhuru kwa mtazamo wa Uislamu

Shiriki mkutano wa kimataifa Tehran kuhusu uhuru kwa mtazamo wa Uislamu

IQNA – Mji mkuu wa Iran, Tehran, umepangwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa kimataifa kuhusu ubinadamu na uhuru.
15:26 , 2025 Apr 20
Washiriki 160 wafuzu kwa fainali za Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an katika Ukanda wa Balkan

Washiriki 160 wafuzu kwa fainali za Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an katika Ukanda wa Balkan

IQNA – Mchujo wa awali wa mashindano makubwa zaidi ya kimataifa ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu katika ukanda wa Balkan umekamilika huko Bosnia na Herzegovina.
15:14 , 2025 Apr 20
Ukosoaji wa kilipu ya Akili Mnemba inayoonyesha uharibifu wa Msikiti wa Al-Aqsa

Ukosoaji wa kilipu ya Akili Mnemba inayoonyesha uharibifu wa Msikiti wa Al-Aqsa

IQNA – Nchi kadhaa za Kiarabu zimelaani vikali kusambazwa kwa klipu iliyotengenezwa kwa kutumia Akili Mnemba (AI) na walowezi wa Kizayuni wa Israel, inayoonyesha uharibifu wa Msikiti wa Al-Aqsa ulioko katika al-Quds inayokaliwa kwa mabavu, na ujenzi wa hekalu la Kiyahudi mahali pake.
15:05 , 2025 Apr 20
Nigeria: Gavana apongezwa kwa kuruhusu wanawake Waislamu wanaofanya kazi za usalama kuvaa Hijabu

Nigeria: Gavana apongezwa kwa kuruhusu wanawake Waislamu wanaofanya kazi za usalama kuvaa Hijabu

IQNA – Shirika la haki za binadamu la Kiislamu nchini Nigeria limekaribisha uamuzi wa hivi karibuni wa gavana wa Jimbo la Jigawa kuruhusu wanawake Waislamu wanaofanya kazi katika kampuni binafsi za usalama kuvaa Hijabu kama sehemu ya sare zao.
13:10 , 2025 Apr 20
Klipu | Utaugundua Ukweli

Klipu | Utaugundua Ukweli

IQNA- Katika dunia ya leo yenye pilika pilika nyingi na mwendo wa haraka, wakati mwingine tunahitaji kusimama kwa muda mfupi na kupata utulivu. Mfululizo wa "Sauti ya Wahyi" kwa kuchagua baadhi ya aya kwenye Qur'ani Tukufu na sauti ya kupendeza ya Ustadh Behrouz Razawi, ni mwaliko wa safari ya kiroho na yenye kuinua roho. Mfululizo huu mfupi lakini wenye maudhui ya kina, unawaletea nyakati za utulivu na matumaini.
12:53 , 2025 Apr 20
Hati ya Kitabu cha Ibn Sina yaonyesha uhusiano wa madaktari wa Kiarishi na Ulimwengu wa Kiislamu

Hati ya Kitabu cha Ibn Sina yaonyesha uhusiano wa madaktari wa Kiarishi na Ulimwengu wa Kiislamu

IQNA – Ugunduzi wa hati ya kale ya Kiarishi umeonyesha uhusiano usiotarajiwa kati ya utamaduni wa Gaelic huko Ireland na ulimwengu wa Kiislamu. 
23:15 , 2025 Apr 19
Ayatullah Sistani atuma rambirambi kufuatia kifo cha Mwanazuoni maarufu wa Kashmir

Ayatullah Sistani atuma rambirambi kufuatia kifo cha Mwanazuoni maarufu wa Kashmir

IQNA – Ofisi ya Ayatullah Ali al-Sistani, kiongozi mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq, imetoa ujumbe rasmi wa rambirambi kufuatia kifo cha mwanazuoni wa kidini wa Kashmiri, Allama Aga Syed Mohammad Baqir al-Moosavi al-Najafi. 
23:00 , 2025 Apr 19
Haram ya Imam Ridha  (AS) kutoa huduma kwa lugha za kimataifa wakati wa ‘Wiki ya Karamat’

Haram ya Imam Ridha  (AS) kutoa huduma kwa lugha za kimataifa wakati wa ‘Wiki ya Karamat’

IQNA – Astan Quds Razavi, yaani  Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Ridha (AS) huko Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran, immepanga mfululizo wa programu za lugha mbalimbali kwa ajili ya wafanyaziara wa kimataifa wakati wa maadhimisho ya kuzaliwa kwa Imam Ridha (AS) wa nane wa Waislamu wa madhehebu ya Shia.
22:51 , 2025 Apr 19
Sheikh Qassem: Haiwezekani kuipokonya Hizbullah silaha

Sheikh Qassem: Haiwezekani kuipokonya Hizbullah silaha

IQNA – Katibu Mkuu wa Hizbullay ya Lebanon amepuuzilia mbali wazo la kuipokonya  harakati hiyo, silaha zake na kusema wale wanaotoa wito wa kufanya hivyo wanahudumia ajenda ya utawala wa Kizayuni wa Israel 
22:40 , 2025 Apr 19
Chama cha misimamo mikali Italia kuchunguzwa kuhusu  picha za Chuki dhidi ya Uislamu

Chama cha misimamo mikali Italia kuchunguzwa kuhusu picha za Chuki dhidi ya Uislamu

IQNA – Chama kimoja cha misimamo mikali ya mrengo wa kulia nchini Italia, kinachoongozwa na Naibu Waziri Mkuu Matteo Salvini, kinahunguzwa rasmi baada ya wabunge wa upinzani kuwasilisha malalamiko kuwa chama hicho kimesambaza picha zinazozalishwa na Akili Bandia (AI) zinazokuza ubaguzi wa rangi na dhana za Chuki dhidi ya Uislamu au Islamophobia.
22:19 , 2025 Apr 19
Jihad Islami: Hatuwezi chini silaha maadamu ardhi za Palestina zinakaliwa kwa mabavu

Jihad Islami: Hatuwezi chini silaha maadamu ardhi za Palestina zinakaliwa kwa mabavu

IQNA – Makundi yote ya Palestina yameungana katika upinzani wao mkali dhidi ya pendekezo la kuzitaka harakati za Kiislamu za kupigania ukombozi (Muqawama) kuwaka chini silaha, afisa wa harakati ya Jihad Islami amesema.
18:49 , 2025 Apr 18
Mtafiti wa Qur'ani wa Iran Aheshimiwa Wakati Akiadhimisha Umri wa Miaka 80

Mtafiti wa Qur'ani wa Iran Aheshimiwa Wakati Akiadhimisha Umri wa Miaka 80

IQNA – Sherehe ilifanyika katika Chuo cha Lugha na Fasihi ya Kiajemi cha Iran mjini Tehran siku ya Jumatano, Aprili 16, 2025, kumheshimu na kumuenzi Bahaeddin Khorramshahi, msomi mashuhuri wa Iran na mtafiti wa Qur'ani Tukufu.
18:22 , 2025 Apr 18
Rais wa Iran: Umoja wa Kiislamu ni muhimu kwa amani na maendeleo ya kieneo

Rais wa Iran: Umoja wa Kiislamu ni muhimu kwa amani na maendeleo ya kieneo

IQNA – Rais wa Iran Massoud Pezeshkian amesema umoja wa Waislamu kuwa msingi wa amani na maendeleo katika eneo hilo. 
11:13 , 2025 Apr 18
Maeneo ya kupumzika, njia zenye kivuli kujengwa kwa ajili ya Mahujaji kabla ya Hija 

Maeneo ya kupumzika, njia zenye kivuli kujengwa kwa ajili ya Mahujaji kabla ya Hija 

IQNA – Mipango inaendelea kuanzisha maeneo ya kupumzika kwa Mahujaji katika sehemu mbalimbali za Mina, Arafat na Muzdalifah karibu na Makka wakati wa Hija ya kila mwaka. 
10:37 , 2025 Apr 18
Afisa wa EU asema hatua zinachukuliwa kukabiliana na Chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya

Afisa wa EU asema hatua zinachukuliwa kukabiliana na Chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya

IQNA-Umoja wa Ulaya umetangaza azma ya kukabiliana na uhalifu wa chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) katika nchi za Ulaya.
10:18 , 2025 Apr 18
2