IQNA

Wale wanaomtegemea Mwenyezi Mungu na wale wasiofanya hivyo

Wale wanaomtegemea Mwenyezi Mungu na wale wasiofanya hivyo

IQNA – Tofauti kuu kati ya mtu wa kweli Mutawakkil (anayemtegemea Mwenyezi Mungu) na wale wasio na imani kwa Mwenyezi Mungu iko kwenye imani zao.
09:56 , 2025 Mar 27
Rais wa Iran asisitiza kujitokeza wananchi katika Siku ya Kimataifa ya Quds

Rais wa Iran asisitiza kujitokeza wananchi katika Siku ya Kimataifa ya Quds

IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito kwa wananchi wa Iran kuonyesha umoja na mshikamano wao wakati wa Siku ya Kimataifa ya Quds, akisisitiza kwamba kujitokeza kwa wingi wananchi katika siku hii kutaonyesha msaada usiotetereka wa Jamhuri ya Kiislamu kwa malengo ya ukombozi wa Palestina.
08:05 , 2025 Mar 27
Juzuu ya 26- Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani

Juzuu ya 26- Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani

IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 26 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na maqari wafuatao kutoka Iran: Mohammadreza Purzargari, Hossein Rostami, Mahdi Gholamnejad, and Ali Kamran. Jiunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.
07:57 , 2025 Mar 27
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 26

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 26

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
07:54 , 2025 Mar 27
Wapalestina 100,000 wameswali katika Msikiti wa Al-Aqsa Siku ya 25 ya Ramadhani

Wapalestina 100,000 wameswali katika Msikiti wa Al-Aqsa Siku ya 25 ya Ramadhani

IQNA – Wapalestina wanaendelea kushiriki katika Swala za jamaa katika Msikiti wa Al-Aqsa katika jiji takatifu la al-Quds kwa wingi wakati wa Ramadhani licha ya vizuizi vinavyowekwa na utawala dhalimu wa Israel.
16:49 , 2025 Mar 26
Hamas: Watu wa dunia waandamane kuunga mkono Palestina katika Siku ya Kimataifa ya Quds

Hamas: Watu wa dunia waandamane kuunga mkono Palestina katika Siku ya Kimataifa ya Quds

IQNA – Harakati ya Mapambano ya Kiislamu (Muqawama) ya Palestina, Hamas, imetoa wito wa maandamano duniani kote wiki hii kwa ajili ya kuwasaidia na kufungamana na Wapalestina wa Ukanda wa Gaza, mji mtakatifu wa al-Quds na Msikiti wa al-Aqsa. Katika Siku ya Kimataifa ya Quds.
16:37 , 2025 Mar 26
Falsafa ya Tawakkul

Falsafa ya Tawakkul

IQNA – Pointi muhimu katika kuchunguza Tawakkul (Kumtegemea Mwenyezi Mungu) katika Qurani Tukufu ni kwa mtazamo wa kimaumbile.
15:37 , 2025 Mar 26
Watoto washiriki Mashindano ya Qur'ani ya Ramadhani North Carolina, Marekani

Watoto washiriki Mashindano ya Qur'ani ya Ramadhani North Carolina, Marekani

IQNA – Mashindano ya Qur'ani kwa watoto yamefanyika Charlotte, jimbo la North Carolina, Marekani katika Mwezi Mtukufu  Ramadhani. 
15:12 , 2025 Mar 26
Juzuu ya 25- Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani

Juzuu ya 25- Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani

IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 25 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na maqari wafuatao kutoka Iran: Mohammadreza Purzargari, Seyyed Hossein Mousavi Baladeh, Mojtaba Parvizi, na Habib Sedaqat..Jiunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.
05:39 , 2025 Mar 26
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 25

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 25

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
05:34 , 2025 Mar 26
Bango la Siku ya Kimataifa ya Quds Lazinduliwa

Bango la Siku ya Kimataifa ya Quds Lazinduliwa

IQNA – Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu (WFPIST) imetayarisha bango la Siku ya Kimataifa ya Quds ya mwaka huu wa 1446 H sawa na 2025.
13:06 , 2025 Mar 25
Tawakkul Inahusishwa na Imani na Uchaji Mungu katika Qur'ani

Tawakkul Inahusishwa na Imani na Uchaji Mungu katika Qur'ani

IQNA – Tawakkul (kumtegemea Mwenyezi Mungu) ni neno lenye maana pana katika nyanja za dini, tasawwuf, na maadili.  Inahusiana na dhana mbalimbali, ikiwemo imani na uchaji Mungu.
12:53 , 2025 Mar 25
Siku ya Kimataifa ya Quds ni fursa ya Umma kufungamana na Palestina

Siku ya Kimataifa ya Quds ni fursa ya Umma kufungamana na Palestina

IQNA – Siku ya Kimataifa ya Quds ni fursa ya kuonyesha msaada wa umma kwa  taifa la Palestina na ukombozi wa al-Quds, amesema afisa mwandamizi nchini Iran.
11:17 , 2025 Mar 25
Vikosi vya Yemen vyatekeleza operesheni dhidi ya Israel na Marekani

Vikosi vya Yemen vyatekeleza operesheni dhidi ya Israel na Marekani

IQNA -Majeshi ya Yemen yamelenga kwa mafanikio uwanja mmoja wa ndege wa Israel na manuwari ya Marekani yenye uwezo wa kusheheni ndege za kivita katika mashambulizi ya makombora siku ya Jumatatu.
10:55 , 2025 Mar 25
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 24

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 24

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
05:21 , 2025 Mar 25
10