IQNA

Mkutano wa Kimataifa Nchini Baku Kujadili Kuongezeka kwa Chuki Dhidi ya Uislamu Duniani

Mkutano wa Kimataifa Nchini Baku Kujadili Kuongezeka kwa Chuki Dhidi ya Uislamu Duniani

IQNA – Mkutano wa kimataifa utakaofanyika Baku mnamo Mei 26–27 utawaleta pamoja wataalamu wa kimataifa ili kujadili changamoto inayoongezeka ya chuki dhidi ya Uislamu yaani Islamophobia.
21:04 , 2025 May 24
Binti aliyehifadhi Qur’ani asema inatia nuru maisha, inaimarisha akili

Binti aliyehifadhi Qur’ani asema inatia nuru maisha, inaimarisha akili

IQNA – Zeynab al-Sadat Savadkouhi, binti aliyehifadhi Qur’ani Tukufu, amebainisha jinsi kujikita kwake kwa kina katika kitabu kitakatifu kumeathiri kwa kiwango kikubwa maisha yake ya kitaaluma na binafsi.
20:55 , 2025 May 24
Tamasha la Kimataifa la Qur'ani na Hadithi la Al-Mustafa lafanyika kwa mafanikio Tanzania

Tamasha la Kimataifa la Qur'ani na Hadithi la Al-Mustafa lafanyika kwa mafanikio Tanzania

IQNA – Toleo la 30 la Tamasha la Kimataifa la Qur'ani na Hadithi la Al-Mustafa limehitimishwa nchini Tanzania kwa hafla maalum ya kufunga, ambapo washiriki bora wa tukio hilo walitunukiwa.
20:47 , 2025 May 24
Roboti inayoendeshwa na Akili Mnemba kuwasaidia Mahujaji Saudia

Roboti inayoendeshwa na Akili Mnemba kuwasaidia Mahujaji Saudia

IQNA –Roboti mpya ya Manarat Al-Haramain inayotumia Akili Mnemba (AI) imezinduliwa ili kuwasaidia Mahujaji huko Makka, Saudi Arabia.
19:07 , 2025 May 23
Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani ya Dubai kujimuisha vitengo vitatu

Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani ya Dubai kujimuisha vitengo vitatu

IQNA – Mashindano yajayo ya Qur’ani ya  Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai yatafanyika katika sehemu tatu kuu, na kwa mara ya kwanza yatafungua milango kwa washiriki wa kike.
18:56 , 2025 May 23
Ayatullah Sistani asisitiza ustawi wa shughuli za hisani

Ayatullah Sistani asisitiza ustawi wa shughuli za hisani

IQNA – Kiongozi mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq, Ayatullah Sistani, amesisitiza umuhimu wa kuendeleza shughuli za hisani kwa moyo wa kujitolea.
18:47 , 2025 May 23
Maandalizi ya maadhimisho ya kufa shahidi Imam Jawad (AS)

Maandalizi ya maadhimisho ya kufa shahidi Imam Jawad (AS)

IQNA – Maandalizi ya maadhimisho a kumbukumbu ya kufa shahidi Imam Jawad (AS) katika mji mtakatifu wa Kadhimiya yalipitiwa upya katika mkutano wa hivi karibuni.
18:26 , 2025 May 23
Mashindano ya Kwanza ya Kuhitimisha  Qur’ani yafanyika Damascus

Mashindano ya Kwanza ya Kuhitimisha Qur’ani yafanyika Damascus

IQNA – Wizara ya Wakfu ya Syria imeandaa mashindano ya kwanza nchini humo ya kukamilisha usomaji wa Qur’ani nzima kwa siku moja, yakivutia mamia ya wahifadhi wa kiume na wa kike katika misikiti mitatu mikubwa kwenye mji mkuu.
18:09 , 2025 May 23
Tafsiri mpya ya Qur'ani kwa lugha ya Kiswahili, Tafsir Nur, yazinduliwa Dar

Tafsiri mpya ya Qur'ani kwa lugha ya Kiswahili, Tafsir Nur, yazinduliwa Dar

IQNA- Katika hafla ya kipekee iliyofanyika pembezoni mwa Kongamano la 30 la Qur'an Tukufu, lililofanyika katika Ukumbi wa Mikutano ya Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam, Tanzania, Tafsiri mpya ya Qur’an Tukufu kwa lugha ya Kiswahili imezinduliwa rasmi.
12:21 , 2025 May 22
Kongamano la Kimataifa la Qur'ani Tukufu lafanyika Tanzania

Kongamano la Kimataifa la Qur'ani Tukufu lafanyika Tanzania

IQNA- Kongamano la 30 la Qur’an Tukufu na Hadithi limefanyika kwa mafanikio makubwa Jijini Dar-es-Salaam - Tanzania, likiwakutanisha wasomaji mahiri wa Qur’an kutoka nchini Iran na ndani ya Tanzania..
10:03 , 2025 May 22
Katika Picha: Jumba la Kitaifa la Makumbusho la Sanaa la Isfahan

Katika Picha: Jumba la Kitaifa la Makumbusho la Sanaa la Isfahan

IQNA – Jumba la Kitaifa la Makumbusho la Sanaa la Isfahan, lililozinduliwa mnamo Februari 2022, liko ndani ya jengo la kihistoria kutoka enzi ya mwisho ya utawala wa Qajar.
15:49 , 2025 May 21
Watu wenye uwezo wanawajibika mbele ya Mwenyezi Mungu kuhusu Hija

Watu wenye uwezo wanawajibika mbele ya Mwenyezi Mungu kuhusu Hija

IQNA – Qur'ani Tukufu inaitazama Hija kama haki ya Mwenyezi Mungu juu ya wanadamu, na ni wajibu kwa wale wote walio na uwezo wa kufika katika Nyumba ya Mwenyezi Mungu katika mji mtakatifu wa Makka.
15:44 , 2025 May 21
Kosovo: Aliyevunjia heshima  Qur'ani Tukufu Kosovo ashtakiwa

Kosovo: Aliyevunjia heshima Qur'ani Tukufu Kosovo ashtakiwa

IQNA – Mwanaume mmoja ameshtakiwa rasmi nchini Kosovo kwa kitendo cha kuvunjia heshima Qur’ani Tukufu miezi michache iliyopita.
15:37 , 2025 May 21
Sweden yashinda Tuzo Kuu Katika Mashindano ya Ulaya ya Kuhifadhi Qur’ani

Sweden yashinda Tuzo Kuu Katika Mashindano ya Ulaya ya Kuhifadhi Qur’ani

IQNA – Toleo la tatu la Mashindano ya Kimataifa ya Ulaya ya Kuhifadhi Qur’ani kwa washiriki wa umri mkubwa limehitimishwa mjini Rijeka, Croatia, ambapo Muhammad Abdi kutoka Sweden (Uswidi) alitwaa nafasi ya kwanza.
15:32 , 2025 May 21
Waislamu Ufaransa  wataka Palestina itambuliwe kama nchi, uhusiano na Israel ukatwe

Waislamu Ufaransa wataka Palestina itambuliwe kama nchi, uhusiano na Israel ukatwe

IQNA – Baraza la Kiislamu la Ufaransa (CFCM) limeitaka Ufaransa na Umoja wa Ulaya kuitambua rasmi Palestina kama nchi huru na kusitisha makubaliano yao ya kisiasa na kiuchumi na utawala wa Israel kutokana na jinai za utawala huo huko Gaza.
15:27 , 2025 May 21
10