IQNA

Kumkumbuka Sheikh Mahmoud Khalil al‑Hussary: Qari mwenye Unyenyekevu na Huruma

Kumkumbuka Sheikh Mahmoud Khalil al‑Hussary: Qari mwenye Unyenyekevu na Huruma

IQNA – Sheikh Mahmoud Khalil al‑Hussary, mmoja wa maqari mashuhuri wa Misri, anakumbukwa kwa umahiri wake wa kusoma Qur’ani, huruma, na unyenyekevu.
17:03 , 2025 Sep 24
Baraza la Wahindu latuhumiwa kwa Chuki Dhidi ya Uislamu nchini Australia

Baraza la Wahindu latuhumiwa kwa Chuki Dhidi ya Uislamu nchini Australia

IQNA – Tume ya Haki za Binadamu ya Australia imeanzisha uchunguzi kufuatia malalamiko dhidi ya Baraza la Wahindu la Australia, likiwemo Rais wake Sai Paravastu na Mkuu wa Idara ya Habari Neelima Paravastu, wakidaiwa kujihusisha mara kwa mara na matamshi ya chuki dhidi ya Uislamu kuanzia Mei 2024 hadi Julai 2025.
18:38 , 2025 Sep 23
Qibla ya Pamoja inapaswa kuwa chanzo cha

Qibla ya Pamoja inapaswa kuwa chanzo cha "Umoja wa Kweli,” asema mwanazuoni wa Malaysia

IQNA – Mwanazuoni na mwanaharakati kutoka Malaysia ametoa wito kwa Waislamu kote duniani kuonesha mshikamano kwa vitendo badala ya maneno, akisisitiza kuwa Qibla ya pamoja inapaswa kuwa msingi wa mshikamano wa Ummah.
18:38 , 2025 Sep 23
Pakistan yaialika Iran kushiriki Mashindano ya Kwanza ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur’ani

Pakistan yaialika Iran kushiriki Mashindano ya Kwanza ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur’ani

IQNA – Waziri wa Mambo ya Kidini wa Pakistan ametoa mwaliko rasmi kwa wataalamu na wasomaji wa Qur’ani kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kushiriki katika Mashindano ya Kwanza ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur’ani yanayotarajiwa kufanyika nchini humo.
18:31 , 2025 Sep 23
Dada wanne Wapalestina wafaulu kuhifadhi Qur’ani Tukufu kwa ukamilifu

Dada wanne Wapalestina wafaulu kuhifadhi Qur’ani Tukufu kwa ukamilifu

IQNA – Dada wanne wa Kipalestina kutoka kijiji cha Deir al-Quds, kilichopo katika Mkoa wa Ramallah, Ukingo wa Magharibi, wamefanikiwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu yote kwa moyo.
18:20 , 2025 Sep 23
Washindi wa Mashindano ya Afrika ya Kuhifadhi Qur’ani na Hadithi Watunukiwa Johannesburg

Washindi wa Mashindano ya Afrika ya Kuhifadhi Qur’ani na Hadithi Watunukiwa Johannesburg

IQNA – Hatua ya mwisho ya Mashindano ya Mfalme Salman bin Abdulaziz ya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu na Sunnah ya Mtume (SAW) barani Afrika imehitimishwa kwa hafla rasmi iliyofanyika mjini Johannesburg, Afrika Kusini.
18:08 , 2025 Sep 23
Msomi atoa wito wa kuundwa kwa Umoja wa Kiislamu kupinga ubeberu wa Magharibi

Msomi atoa wito wa kuundwa kwa Umoja wa Kiislamu kupinga ubeberu wa Magharibi

IQNA – Mwanasiasa na mchambuzi wa masuala ya kisiasa kutoka Iran ametoa wito kwa nchi zenye Waislamu wengi kuunda umoja wa kisiasa na kiuchumi ili kuimarisha msimamo wao wa pamoja dhidi ya miungano ya mataifa ya Magharibi kama vile NATO na Umoja wa Ulaya.
16:52 , 2025 Sep 22
Qur’ani ni Mwongozo wa Kibinafsi na Chanzo cha Utulivu wa Kina

Qur’ani ni Mwongozo wa Kibinafsi na Chanzo cha Utulivu wa Kina

IQNA – Kwa mwaname mmoja kutoka Iran ambaye ameweka juhudi kwa muda wa miongo miwili kuhifadhi Qur’ani Tukufu, kitabu hiki kitakatifu si tu maandiko ya kidini, bali ni mwongozo wa kibinafsi na chemchemi ya utulivu wa kina.
16:19 , 2025 Sep 22
Isfahan kuandaa hatua ya mwisho ya mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani kwa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Iran

Isfahan kuandaa hatua ya mwisho ya mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani kwa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Iran

IQNA – Hatua ya mwisho ya Mashindano ya 39 ya Kitaifa ya Qur’ani na Etrat kwa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu nchini Iran imepangwa kufanyika katika mji wa kati wa Isfahan.
15:39 , 2025 Sep 22
Waziri wa Wakfu wa Algeria asisitiza uchapishaji sahihi wa Qur’ani Tukufu

Waziri wa Wakfu wa Algeria asisitiza uchapishaji sahihi wa Qur’ani Tukufu

IQNA – Waziri wa Wakfu na Masuala ya Dini wa Algeria amesisitiza umuhimu wa umakini mkubwa katika uchapishaji wa Qur’ani Tukufu.
15:29 , 2025 Sep 22
Jamii ya Illinois Marekani yaadhimisha ‘Siku ya Wadee’ kumkumbuka mtoto wa Kipalestina aliyeuawa kwa Chuki

Jamii ya Illinois Marekani yaadhimisha ‘Siku ya Wadee’ kumkumbuka mtoto wa Kipalestina aliyeuawa kwa Chuki

IQNA – Wakazi wa Plainfield, jimbo la Illinois, walikusanyika Jumapili kuadhimisha siku maalum ya kumkumbuka Wadee Alfayoumi, mtoto wa miaka sita mwenye asili ya Kipalestina na Mmarekani aliyeuawa katika tukio la chuki takriban miaka miwili iliyopita.
15:25 , 2025 Sep 22
Qiraa |  Qari Alireza Rezaei akisoma aya za Qur'ani za Surah Az-Zumar

Qiraa | Qari Alireza Rezaei akisoma aya za Qur'ani za Surah Az-Zumar

Sauti ya usomaji wa aya za 61 hadi 70 kutoka Surah Az-Zumar, pamoja na aya za 1 hadi 7 kutoka Surah Al-A‘la, kwa sauti ya Alireza Rezaei, qari wa kimataifa wa Qur’ani Tukufu inawasilishwa hapa kwa wanaofuatilia tovuti ya IQNA. Qiraa hii ilirekodiwa katika katika mkusanyiko wa kiroho uliofanyika katika haram tukufu ya Imam Ridha (AS) katika mji wa Mashhad kaskazini mashariki mwa Iran.
15:52 , 2025 Sep 21
Mbunge wa Bunge la Marekani asema anajivunia Uislamu wake

Mbunge wa Bunge la Marekani asema anajivunia Uislamu wake

IQNA – Mjumbe wa chama cha Democratic katika Bunge la Marekani, Bi Ilhan Omar, amesisitiza utambulisho wake wa Kiislamu, akisema anajivunia kuwa Mwislamu.
15:40 , 2025 Sep 21
Qari: Kipindi cha Qur’ani cha Iran “Mahfel” chavuma kimataifa

Qari: Kipindi cha Qur’ani cha Iran “Mahfel” chavuma kimataifa

IQNA –Qari na Mtangazaji wa kipindi maarufu cha Qur’ani cha televisheni ya Iran, Mahfel, amesema kuwa kipindi hicho kimepata umaarufu mkubwa kimataifa, kikivutia watazamaji kutoka ulimwengu wa Kiislamu na hata katika maengine ya dunaini.
15:25 , 2025 Sep 21
Onyo la IRGC: Iran itajibu vikali uchokozi wowote mpya wa maadui

Onyo la IRGC: Iran itajibu vikali uchokozi wowote mpya wa maadui

IQNA- Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limewaonya maadui wa Iran hususan utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani kwamba, watakabiliwa na majibu makali na madhubuti ya Jamhuri ya Kiislamu iwapo watafanya makosa yoyote mapya au kufanya kitendo chochote cha uchokozi dhidi ya nchi hii.
15:06 , 2025 Sep 21
13