IQNA

Juzuu ya 24- Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani

Juzuu ya 24- Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani

IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 24 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na maqari wafuatao kutoka Iran: Hossein Rostami, Mahdi Adeli, Hamidreza Ahmadivafa, na Jafar Fardi.Jiunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.
05:17 , 2025 Mar 25
Waumini wanaaswa wasilete watoto katika Msikiti Mkuu wa Makkah wakati kuna msongamano

Waumini wanaaswa wasilete watoto katika Msikiti Mkuu wa Makkah wakati kuna msongamano

IQNA – Waumini wametakiwa kutowaleta watoto wadogo katika Msikiti Mkuu wa Makkah, Masjid al Haram, wakati wa siku za mwisho za mwezi mtukufu  Ramadhani. Hii ni kutokana na eneo hili takatifu kushuhudia ongezeko kubwa la umini
21:03 , 2025 Mar 24
Msikiti wa Bristol, Uingereza  kuandaa Futari kubwa

Msikiti wa Bristol, Uingereza  kuandaa Futari kubwa

IQNA – Kama miaka iliyopita, tukio la Futari Kubwa litafanyika katika mji wa Bristol, Uingereza, mwaka huu. 
20:55 , 2025 Mar 24
Watu wa Austria watoa wito wa kususia Israel kutokana na mauaji ya kimbari Gaza

 

Watu wa Austria watoa wito wa kususia Israel kutokana na mauaji ya kimbari Gaza  

IQNA – Jiji la Vienna, mji mkuu wa Austria, lilishuhudia maandamano makubwa yanayopinga kuendelea kwa mashambulizi ya Israel dhidi ya Gaza. Waandamanaji walibeba mabango na vipeperushi vyenye maandiko, “Acha kuua watoto,” “Acha vita sasa,” na “Susia Israel."
20:47 , 2025 Mar 24
Indhari ya UNRWA: Israel itaibua maafa makubwa ya njaa Gaza

Indhari ya UNRWA: Israel itaibua maafa makubwa ya njaa Gaza

IQNA-Mkuu wa Shirika la UN la Wakimbizi wa Palestina (UNRWA) ametahadharisha kwamba hatua ya utawala wa Israel kuweka mzingiro na kuzuia misaada ya kibinadamu kuingia katika Ukanda wa Gaza inapelekea eneo hilo la pwani kukaribia baakubwa la njaa.
18:36 , 2025 Mar 24
Juzuu ya 23 -  Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani

Juzuu ya 23 - Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani

IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 23 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na Qari Hamidreza Ahmadivafa wa Iran. Jiunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.
11:13 , 2025 Mar 24
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 23

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 23

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
02:11 , 2025 Mar 24
Mashindano ya Qur'ani ya Ramadhani nchini Uganda yafikia tamati

Mashindano ya Qur'ani ya Ramadhani nchini Uganda yafikia tamati

IQNA – Hafla ya kufunga mashindano ya Qur'ani ya Ramadhani nchini Uganda ilifanyika wiki hii katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
21:50 , 2025 Mar 23
Shambulio la kigaidi msikitini lawaua watu 44 nchini Niger

Shambulio la kigaidi msikitini lawaua watu 44 nchini Niger

IQNA – Siku tatu za maombolezo zilitangazwa nchini Niger baada ya watu 44 kuuawa shahidi katika shambulio kwenye msikiti kusini magharibi mwa nchi hiyo. 
21:40 , 2025 Mar 23
Hamas: Kwa kila Shahidi, Mwenge wa Muqawama  unawake zaidi

Hamas: Kwa kila Shahidi, Mwenge wa Muqawama  unawake zaidi

IQNA – Harakati ya Mapambano ya Kiislamu (Muqawama) ya Palestina Hamas ililaani mauaji ya Salah al-Badrawil yaliyofanywa na utawala katili wa Israel, ikisisitiza kuwa kwa kila shahidi, mwenge wa Muqawama unazidi kuwa mkali.
21:28 , 2025 Mar 23
Mwakilishi wa Iran aridhika na Mashindano ya Kimataifa ya Qur’an ya Jordan

Mwakilishi wa Iran aridhika na Mashindano ya Kimataifa ya Qur’an ya Jordan

IQNA – Hossein Khani Bidgoli kutoka Iran amesema alikuwa na furaha na jinsi alivyofanya katika Mashindano ya 32 ya kimataifa ya Qur'ani ya Jordan.
21:14 , 2025 Mar 23
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 22

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 22

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
05:25 , 2025 Mar 23
Juzuu ya 22- Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani

Juzuu ya 22- Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani

IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 22 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na maqari wafuatao kutoka Iran: Ali Ghasemabadi, Mahdi Gholamnejad, Ali Kamran, na Mohammad Javad Javari.Jiunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.
05:19 , 2025 Mar 23
Msomi: Imam Ali (AS) alileta uzoefu wenye thamani kuhusu Utawala wa Kiislamu

Msomi: Imam Ali (AS) alileta uzoefu wenye thamani kuhusu Utawala wa Kiislamu

IQNA – Msomi cha Chuo cha Kiislamu (Hawzah) huko Najaf , Iraq amesema kuwa Imam Ali (AS) alileta uzoefu wenye thamani kubwa katika utawala wa Kiislamu kwa Ummah wa Kiislamu.
16:26 , 2025 Mar 22
Washindi wa Mashindano ya Qur'ani kwa Watoto Doha wapata zawadi

Washindi wa Mashindano ya Qur'ani kwa Watoto Doha wapata zawadi

IQNA – Watoto wadogo waliochukua walioshika nafasi za juu katika toleo la 30 la Mashindano ya Qur'ani ya Sheikh Jassim bin Mohammed bin Thani nchini Qatar wameitunukiwa tuzo.
16:14 , 2025 Mar 22
11