IQNA

Sala ya Idul Fitr 1446 (2025) katika Msikiti wa Mosalla, Tehran

Sala ya Idul Fitr 1446 (2025) katika Msikiti wa Mosalla, Tehran

IQNA – Mamia ya maelfu ya wakazi wa Tehran walikusanyika katika Msikiti wa Mosalla Imam Khomeini mnamo Machi 31, 2025, kushiriki Sala ya Idul Fitr iliyoswalishwa na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei.
11:47 , 2025 Apr 01
Ayatullah Khamenei asisitiza umoja wa Waislamu ili kukabiliana na dhulma ya madola makubwa

Ayatullah Khamenei asisitiza umoja wa Waislamu ili kukabiliana na dhulma ya madola makubwa

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya kislamu, Ayatullah Sayyed Ali Khamenei amesema kuimarika heshima ya Uislamu na kukabiliana na dhulma na uonevu wa madola makubwa vinategemea umoja na utambuzi wa Umma wa Kiislamu.
20:53 , 2025 Mar 31
Wapalestina 120,000 Wahudhuria Swala ya Idul Fitr katika Msikiti wa Al-Aqsa

Wapalestina 120,000 Wahudhuria Swala ya Idul Fitr katika Msikiti wa Al-Aqsa

IQNA-Takriban Wapalestina 120,000 walikusanyika kwa ajili ya Swala ya Idul Fitr katika Msikiti wa Al-Aqsa katika mji al-Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Israel licha ya vikwazo vilivyowekwa na vikosi vya utawala huo dhalimu.
13:04 , 2025 Mar 31
Jinsi ya kudumisha manufaa ya kiroho ya Ramadhani baada ya mwezi kumalizika (Sehemu ya 1)

Jinsi ya kudumisha manufaa ya kiroho ya Ramadhani baada ya mwezi kumalizika (Sehemu ya 1)

IQNA – Moja ya makosa yetu makubwa ni kushindwa kufahamu manufaa ya kiroho tunayopata wakati wa Ramadhani.
12:49 , 2025 Mar 31
Ayatullah Khamenei asema utawala fisadi wa Israel ni ‘kikosi cha niaba tu’,  aionya Marekani kuhusu vita

Ayatullah Khamenei asema utawala fisadi wa Israel ni ‘kikosi cha niaba tu’, aionya Marekani kuhusu vita

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ameionya Marekani kuhusu vitiso vyake dhidi ya Iran na kusema kikosi pekee cha niaba katika eneo hili (Asia Magharibi) ni utawala wa Kizayuni ambao unavamia nchi nyingine kwa niaba ya madola ya kikoloni ya dunia na ni "lazima ung'olewe."
11:59 , 2025 Mar 31
Misikiti Miwili ya Makka na Madina imewakaribisha waumini  Milioni 122 Katika Mwezi wa Ramadhani

Misikiti Miwili ya Makka na Madina imewakaribisha waumini Milioni 122 Katika Mwezi wa Ramadhani

IQNA – Zaidi ya waumini milioni 122 walitembelea Msikiti Mtakatifu wa Makka ambao unajulkana kama Masjid Al Haram na Msikiti wa Mtume (SAW) mjini Madina amba oni maarufu kama Al Masjid an Nabawi katika kipindi chote cha mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
20:50 , 2025 Mar 30
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran atuma salamu za Idul Fitr, atoa wito wa umoja wa Kiislamu

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran atuma salamu za Idul Fitr, atoa wito wa umoja wa Kiislamu

IQNA-Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, ametoa wito wa kuimarisha zaidi umoja na huruma miongoni mwa mataifa ya Kiislamu. Katika ujumbe wa pongezi kwa wenzake Waislamu kwa mnasaba wa sikukuu ya Idul Fitr, inayoadhimisha baada ya kumalizika mwezi mtukufu wa Ramadhani,
20:43 , 2025 Mar 30
Rais wa Iran awapongeza Waislamu kwa mnasaba wa sikukuu ya Idul Fitr

Rais wa Iran awapongeza Waislamu kwa mnasaba wa sikukuu ya Idul Fitr

IQNA- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu za pongezi kwa viongozi wa nchi za Kiislamu na Waislamu duniani kote kwa mnasaba wa kuwadia kwa Sikukuu Tukufu ya Idul Fitr.
20:39 , 2025 Mar 30
Yamkini Mamia ya Waislamu wamepoteza maisha katika tetemeko la ardhi Myanmar

Yamkini Mamia ya Waislamu wamepoteza maisha katika tetemeko la ardhi Myanmar

IQNA-Mamia ya Waislamu wanahofiwa kuwa miongoni mwa watu zaidi ya 1,600 waliopoteza maisha katika tetemeko kubwa la ardhi lililotokea katikati ya Myanmar, wakati walipokuwa wakiswali misikitini katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
20:30 , 2025 Mar 30
Ni nchi zipi zimeitangaza Jumapili kuwa Idul Fitr?

Ni nchi zipi zimeitangaza Jumapili kuwa Idul Fitr?

IQNA – Nchi kadhaa ulimwenguni kote zimethibitisha rasmi kuwa Jumapili, Machi 30, 2025, itakuwa siku ya kwanza ya Idul Fitr.
05:54 , 2025 Mar 30
Juzuu ya 29- Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani

Juzuu ya 29- Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani

IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 29 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na maqari wafuatao kutoka Iran: Masoud Nouri, Hamidreza Ahmadivafa, Seyyed Hossein Mousavi Baladeh, na Seyyed Mohammad Kermani. Jiunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.
05:33 , 2025 Mar 30
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 29

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 29

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
05:27 , 2025 Mar 30
Mashindano ya  Qur'ani  ya Katara nchini Qatar yamalizika

Mashindano ya Qur'ani ya Katara nchini Qatar yamalizika

IQNA – Watu wawili kutoka Morocco wamepata nafasi za juu katika Mashindano ya 8 ya Katara ya Usomaji wa Qur'ani, yaliyofanyika nchini Qatar
15:01 , 2025 Mar 29
Matokeo ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an nchini Jordan yametangazwa

Matokeo ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an nchini Jordan yametangazwa

IQNA- Mashindano ya 32 ya Kimataifa ya Kuhifadhi Qur'an nchini Jordan yamefikia tamati kwa kutangaza washindwa na kutunukukiwa zawadi waliofika nafasi za juu.
14:50 , 2025 Mar 29
Dua ya Gaza na Al-Aqsa katika Masjid Al Haram wakati wa  Swala ya Ijumaa

Dua ya Gaza na Al-Aqsa katika Masjid Al Haram wakati wa Swala ya Ijumaa

IQNA- Swala ya Ijumaa ya mwisho wa mwezi mtukufu wa Ramadhani katika misikiti mbalimbali duniani, ikiwemo Msikiti wa Masjid al Al-Haram katika mji mtakatifu wa Makka, na Msikiti wa Al-Azhar nchini, iliandamana na dua kwa ajili ya Wapalestina wa Gaza na Msikiti wa Al-Aqsa.
14:33 , 2025 Mar 29
8