IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 29 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na maqari wafuatao kutoka Iran: Masoud Nouri, Hamidreza Ahmadivafa, Seyyed Hossein Mousavi Baladeh, na Seyyed Mohammad Kermani. Jiunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.
05:33 , 2025 Mar 30