IQNA

Kiongozi Muadhamu: Uhusiano baina ya Iran na Saudi Arabia utafaidisha pande mbili

Kiongozi Muadhamu: Uhusiano baina ya Iran na Saudi Arabia utafaidisha pande mbili

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: Uhusiano kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Saudi Arabia utakuwa na faida kwa pande mbili na unaweza kuzifanya pande mbili hizo zikamilishane.
09:58 , 2025 Apr 18
Hizbullah yaitaka OIC na Jumuiya ya Kiarabu Kutimiza Wajibu kwa Al-Aqsa

Hizbullah yaitaka OIC na Jumuiya ya Kiarabu Kutimiza Wajibu kwa Al-Aqsa

IQNA – Harakati ya Mapambano ya Kiislamu (Muqawama) ya Lebanon, Hizbullah, imetoa wito kwa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC), Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (AL), vituo vya kielimu na kisayansi vya Umma wa Kiislamu, pamoja na wapenda uhuru duniani kuchukua hatua za haraka kutimiza wajibu wao wa kihistoria kuhusu Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
11:55 , 2025 Apr 17
Wairani 85,000 kueleka Hija, miongoni mwao 1,100 wana umri zaidi ya miaka 80

Wairani 85,000 kueleka Hija, miongoni mwao 1,100 wana umri zaidi ya miaka 80

IQNA – Jumla ya raia 85,000 wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran watashiriki katika ibada ya Hija mwaka huu ambapo miongoni mwao  1,100 wana umri wa zaidi ya miaka 80, afisa mmoja alisema.
11:04 , 2025 Apr 17
Msomi wa Misri: Kutajwa kwa Msikiti wa Al-Aqsa Katika Qur'ani Kunaakisi Utambulisho Wake wa Kiislamu

Msomi wa Misri: Kutajwa kwa Msikiti wa Al-Aqsa Katika Qur'ani Kunaakisi Utambulisho Wake wa Kiislamu

IQNA – Rais wa zamani wa Chuo Kikuu cha Al-Azhar amesema kuwa Qur'ani Tukufu inaangazia utambulisho wa Kiislamu wa Msikiti wa Al-Aqsa.
16:29 , 2025 Apr 16
Mpango wa Kutafakari kuhusu Qur'ani Wafanyika Katika Msikiti wa Al-Nur, Jakarta

Mpango wa Kutafakari kuhusu Qur'ani Wafanyika Katika Msikiti wa Al-Nur, Jakarta

IQNA – Hafla ya ‘Halal kwa Halal’ na mpango wa kutafakari kuhusu aya za Qur'ani zilifanyika kwa ushiriki mkubwa wa viongozi wa kidini, kitamaduni na kitaaluma katika Msikiti wa Al-Nur uliopo Jakarta, Indonesia.
15:52 , 2025 Apr 16
Mufti Mkuu wa Oman akemea Waarabu wanaotaka wapigania ukombozi wa Palestina wapokonywe silaha

Mufti Mkuu wa Oman akemea Waarabu wanaotaka wapigania ukombozi wa Palestina wapokonywe silaha

IQNA – Kupitia taarifa kali kwenye mitandao ya kijamii, Mufti Mkuu wa Oman, Sheikh Ahmad bin Hamad Al-Khalili, amewakosoa vikali viongozi wa Kiarabu wanaoripotiwa kutoa wito wa kuwapokonya silaha wanamuqawama au wapigania ukombozi wa Palestina huko Gaza.
15:11 , 2025 Apr 16
Chuo Kikuu cha UAE chafungua vituo vya kuhifadhi Qur'ani Uganda, Kenya, na Comoro

Chuo Kikuu cha UAE chafungua vituo vya kuhifadhi Qur'ani Uganda, Kenya, na Comoro

Chuo Kikuu cha UAE chafungua vituo vya kuhifadhi Qur'ani Uganda, Kenya, na Comoro
14:40 , 2025 Apr 16
Mmarekani atozwa faini baada ya kuwadhalilisha wanawake Waislamu walipokuwa wakiswali

Mmarekani atozwa faini baada ya kuwadhalilisha wanawake Waislamu walipokuwa wakiswali

IQNA – Wanafunzi watatu Waislamu wa chuo kikuu huko Georgia nchini Marekani wametozwa faini ya kifedha baada ya kudhalilishwa walipokuwa wakiswali katika eneo la maegesho ya umma.
14:26 , 2025 Apr 16
Klipu | Sikiliza Tilawa ya Younes Shahmoradi

Klipu | Sikiliza Tilawa ya Younes Shahmoradi

IQNA- Usomaji wa Qur'ani Tukufu kwa hakika unaweza kutajwa kuwa 'Sauti ya Mbinguni', ambao kila aya zake tukufu huleta thawabu kubwa na usikilizwaji wake huleta utulivu wa mioyo. Katika mfululizo wa "Sauti ya Mbinguni", tumekusanya nyakati za hamasa, unyenyekevu, na uzuri wa sauti ya Qur'ani, na sehemu bora za tilawa ya wasomaji mashuhuri wa Kiirani, ili kuwa urithi wa kusikika wa fani ya tilawa na maana ya kiroho ya aya za Qur'ani.
13:56 , 2025 Apr 16
Maonyesho ya Sanaa ya Uchoraji wa Kaligrafia Kuhusu Gaza

Maonyesho ya Sanaa ya Uchoraji wa Kaligrafia Kuhusu Gaza

IQNA – Maonyesho ya sanaa yanayoonesha kazi za uchoraji wa kaligrafia za msanii wa Kiirani Mohsen Tavassoli yamefunguliwa katika Jumba la Sanaa la Rezvan huko Mashhad.
13:39 , 2025 Apr 16
Kiongozi Muadhamu: Mazungumzo ya Oman ni ‘Mazuri’ lakini bado hatuuamini upande wa pili

Kiongozi Muadhamu: Mazungumzo ya Oman ni ‘Mazuri’ lakini bado hatuuamini upande wa pili

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei amesema mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Iran na Marekani katika mji mkuu wa Oman, Muscat, yamefanyika vizuri katika hatua za awali, lakini ameongeza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ina shaka kubwa kuhusu upande wa pili.
22:49 , 2025 Apr 15
Wasilisha Makala Katika Kongamano la 9 la Kimataifa la Arubaini

Wasilisha Makala Katika Kongamano la 9 la Kimataifa la Arubaini

IQNA – Kituo cha Karbala cha Utafiti, kilichoko chini ya uangalizi wa Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein (AS), kimetangaza wito wa kuwasilisha makala kwa ajili y Kongamano la 9 la Kimataifa la Kielimu kuhusu Hijja ya Arubaini. 
22:29 , 2025 Apr 15
Mtafiti wa Kifaransa atoa maoni yake baada ya kusoma hati za Qur’ani 

Mtafiti wa Kifaransa atoa maoni yake baada ya kusoma hati za Qur’ani 

IQNA – Éléonore Cellard ni mtafiti wa Kifaransa na mtaalamu wa hati za nakala za Qur’an za kale.. 
22:12 , 2025 Apr 15
Vyuo Vikuu vya Iran vinawakaribisha wasomi na wanafunzi wa Kipalestina

Vyuo Vikuu vya Iran vinawakaribisha wasomi na wanafunzi wa Kipalestina

IQNA – Iran imetangaza kuwa itawapokea kwa mikono miwili wasomi na wanafunzi wa Kipalestina katika vyuo vikuu vya Iran kufuatia uharibifu mkubwa wa taasisi za elimu katika Ukanda wa Gaza kutokana na mashambulizi ya utawala haramu wa Israel.
12:15 , 2025 Apr 15
Maelfu waandamana Morocco kuunga mkono Gaza, kulaani jinai za Israel 

Maelfu waandamana Morocco kuunga mkono Gaza, kulaani jinai za Israel 

IQNA – Maelfu ya Wamoroko walikusanyika Jumapili katika mji mkuu, Rabat, kuonyesha mshikamano wao na watu wa Palestina na kulaani uhalifu unaoendelea wa utawala katili wa Israel katika Ukanda wa Gaza. 
18:53 , 2025 Apr 14
3