IQNA

Usomaji wa Qur’an wa mwana wa afisa wa Hamas aliyeuawa shahidi (+Video)

Usomaji wa Qur’an wa mwana wa afisa wa Hamas aliyeuawa shahidi (+Video)

IQNA – Video ya Tarteel ya Qur’an iliyosomwa na shahidi Hammam al-Hayya, mwana wa mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Hamas, Khalil al-Hayya, ambaye aliuawa shahidi hivi karibuni nchini Qatar, imesambazwa mtandaoni.
21:58 , 2025 Sep 16
Ujumbe wa Al-Azhar kuhudhuria mkutano wa vongozi wa dini duniani nchini Kazakhstan

Ujumbe wa Al-Azhar kuhudhuria mkutano wa vongozi wa dini duniani nchini Kazakhstan

IQNA – Ujumbe wa ngazi ya juu kutoka Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri utashiriki katika ufunguzi wa Mkutano wa 8 wa Viongozi wa Dini za Dunia na Jadi utakaofanyika Kazakhstan.
21:49 , 2025 Sep 16
Sheikh Zakzaky: Mwamko dhidi ya Unyama wa Israel Gaza umeimarika hata katika nchi za Magharibi

Sheikh Zakzaky: Mwamko dhidi ya Unyama wa Israel Gaza umeimarika hata katika nchi za Magharibi

IQNA – Kiongozi wa Harakati za Kiislamu nchini Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky, amesema kumeshuhudiwa ongezeko la mwamko na uungaji mkono kwa Wapalestina katika nchi za Magharibi.
21:41 , 2025 Sep 16
Sheikh Taruti: Washiriki wote wa ‘Dawlat al-Tilawa’ nchini Misri ni washindi kupitia Tajiriba

Sheikh Taruti: Washiriki wote wa ‘Dawlat al-Tilawa’ nchini Misri ni washindi kupitia Tajiriba

IQNA – Sheikh Abdel Fattah Taruti, qari mashuhuri wa Misri na mjumbe wa majopo ya majaji wa mashindano ya Qur’ani ya “Dawlat al-Tilawa”, amesema kwamba kila mshiriki katika mashindano hayo ni mshindi, hata ikiwa hatofika katika hatua ya mwisho.
21:28 , 2025 Sep 16
Viongozi wa Kiarabu na Kiislamu walaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Doha, watoa wito wa hatua za haraka

Viongozi wa Kiarabu na Kiislamu walaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Doha, watoa wito wa hatua za haraka

IQNA – Viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu wamelaani vikali mashambulizi ya anga yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya mji mkuu wa Qatar, Doha, wakionya kuwa hatua hiyo inahatarisha amani ya kikanda na wakitoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuchukua hatua madhubuti.
12:06 , 2025 Sep 16
Rais wa Iran aonya kuhusu uchokozi wa Israel dhidi ya nchi za Kiislamu

Rais wa Iran aonya kuhusu uchokozi wa Israel dhidi ya nchi za Kiislamu

IQNA-Katika kilele cha dharura cha nchi za Kiarabu na Kiislamu kilichofanyika jijini Doha, Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, alitoa onyo kali kuhusu mashambulizi ya Israeli ya Septemba 9 dhidi ya Qatar, akisema kuwa tukio hilo linaonyesha wazi kuwa hakuna nchi ya Kiarabu au Kiislamu iliyo salama dhidi ya uchokozi wa utawala wa Tel Aviv.
22:46 , 2025 Sep 15
Hazina ya Hati za Timbuktu: Urithi Uliookolewa Kutoka Makucha ya Wakoloni wa Kifaransa Barani Afrika

Hazina ya Hati za Timbuktu: Urithi Uliookolewa Kutoka Makucha ya Wakoloni wa Kifaransa Barani Afrika

IQNA – Maelfu ya hati kutoka kwa mamia ya waandishi kuhusu elimu ya Qur’ani, hisabati, unajimu, na nyota zinapatikana katika hazina ya Timbuktu, ambayo ni sehemu muhimu ya turathi ya maarifa ya kibinadamu, Kiarabu, na Kiislamu yaliyoandikwa.
18:35 , 2025 Sep 15
Mji Mkuu wa Yemen wenyeji mkutano wa kimataifa wa “Mtume Mkuu (SAW)”

Mji Mkuu wa Yemen wenyeji mkutano wa kimataifa wa “Mtume Mkuu (SAW)”

IQNA – Toleo la tatu la Mkutano wa Kimataifa wa “Mtume Mkuu (SAW)” ulianza Jumamosi katika mji mkuu wa Yemen, Sana’a.
18:23 , 2025 Sep 15
Msomi: Kuporomoka kwa elimu na mgawanyiko viliwezesha sera za ukoloni Katika Ulimwengu wa Kiislamu

Msomi: Kuporomoka kwa elimu na mgawanyiko viliwezesha sera za ukoloni Katika Ulimwengu wa Kiislamu

IQNA – Hujjatul-Islam Ali Abbasi, mjumbe wa Baraza la Wanazuoni Wataalamu nchini Iran, amesema kuwa madola ya kikoloni ya Magharibi yaliendeleza sera zao katika maeneo ya Waislamu kupitia sababu kuu mbili: kuporomoka kwa elimu miongoni mwa Waislamu na mgawanyiko ndani ya jamii za Kiislamu.
18:14 , 2025 Sep 15
Wanawake Waislamu wa Belarus wazindua daftari maridadi la Aya za Qur'an za Mafunzo ya Kila Siku

Wanawake Waislamu wa Belarus wazindua daftari maridadi la Aya za Qur'an za Mafunzo ya Kila Siku

IQNA – Kundi la wanawake Waislamu wanaojihusisha na harakati za kidini nchini Belarus limezindua mradi wa kipekee wa kueneza ujumbe wa Qur'an uitwao “Katika Njia ya Tabia Njema.”
18:04 , 2025 Sep 15
Rais wa Iran awasihi Waislamu kukata uhusiano wowote na Israel

Rais wa Iran awasihi Waislamu kukata uhusiano wowote na Israel

IQNA – Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amezitaka nchi za Kiislamu kukata kabisa uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel, kabla ya mkutano wa dharura utakaofanyika Doha kufuatia shambulizi la hivi karibuni la Israel dhidi ya Qatar.
12:58 , 2025 Sep 15
Umoja wa Kiislamu ni msingi wa kujenga ustaarabu mpya wa Kiislamu

Umoja wa Kiislamu ni msingi wa kujenga ustaarabu mpya wa Kiislamu

IQNA – Katibu wa Baraza Kuu la Mapinduzi ya Kiutamaduni la Iran amesema kuwa umoja wa Waislamu ni muhimu si tu kwa ajili ya kujilinda, bali pia kwa ajili ya kuunda ustaarabu mpya wa Kiislamu.
14:40 , 2025 Sep 14
Uongozi wa Mtume Muhammad (SAW) Ulijaa Rehema na Umoja

Uongozi wa Mtume Muhammad (SAW) Ulijaa Rehema na Umoja

IQNA – Msomo mmoja wa Kiislamu kutoka Iran amesisitiza kuwa mfano wa Mtume Muhammad (SAW) katika uvumilivu, msamaha na uongozi wa kuunganisha jamii ni wa kipekee na haujawahi kulinganishwa hadi leo.
14:15 , 2025 Sep 14
Maktaba ya Sayansi ya Qur’ani na Hadithi huko Qom

Maktaba ya Sayansi ya Qur’ani na Hadithi huko Qom

IQNA – Maktaba maalum ya Sayansi ya Hadithi mjini Qom, Iran imekua na kuwa kituo muhimu cha utafiti, ikijitokeza kwa mkusanyiko wake mpana, vyanzo vilivyosasishwa, na mtazamo wake wa kuunga mkono wasomi. Ina uwezo wa kuwa rejea kuu katika taaluma ya Hadithi ndani ya vyuo vya kidini na hata nje yake. Picha zimechukuliwa mwezi Septemba 2025.
14:01 , 2025 Sep 14
Misikiti ya Uskochi yakabiliwa na hatari za hujuma za kigaidi, yaimarisha usalama

Misikiti ya Uskochi yakabiliwa na hatari za hujuma za kigaidi, yaimarisha usalama

IQNA – Misikiti kote Uskochi au Scotland nchini Uingereza imeongeza kwa kiwango kikubwa hatua za kiusalama, ikiwemo kuajiri walinzi binafsi na kuweka ulinzi wa saa 24, kufuatia njama ya kigaidi iliyozimwa na ongezeko la mashambulizi ya chuki dhidi ya Uislamu.
13:35 , 2025 Sep 14
1