IQNA

Saudi Arabia yawatimua wakazi haramu 8,000 kabla ya Hija

Saudi Arabia yawatimua wakazi haramu 8,000 kabla ya Hija

IQNA – Saudi Arabia imewafukuza raia wa kigeni wasiopungua 8,000 kama sehemu ya kampeni ya usalama kwa lengo la kuhakikisha utaratibu kabla ya Hija ya mwaka huu, Wizara ya Mambo ya Ndani ilitangaza. 
18:41 , 2025 Apr 14
Mkutano wa Kimataifa Kujadili Haki za Binadamu kwa Mtazamo wa

Mkutano wa Kimataifa Kujadili Haki za Binadamu kwa Mtazamo wa "Mashariki"

IQNA – Mkutano wa Kimataifa kuhusu "Haki za Binadamu kwa Mtazamo wa Mashariki" unatarajiwa kufanyika tarehe 27 Aprili, 2025, jijini Tehran, na utaendelea tarehe 28 na 29 Aprili katika Chuo Kikuu cha Baqir al-Olum mjini Qom.
18:31 , 2025 Apr 14
Maqarii wa Misri wamuenzi Sheikh Abaei kwa umahiri wake  kama jaji wa Mashindano ya Qur’ani

Maqarii wa Misri wamuenzi Sheikh Abaei kwa umahiri wake kama jaji wa Mashindano ya Qur’ani

IQNA – Baadhi ya mashekhe wakubwa wa Qur’ani kutoka Misri wametoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Abdolrasoul Abaei, mtaalamu mashuhuri wa Qur’ani nchini Iran.
14:23 , 2025 Apr 14
Hati za Kiarabu na Kiislamu zilifika vipi katika Maktaba za Ujerumani?

Hati za Kiarabu na Kiislamu zilifika vipi katika Maktaba za Ujerumani?

IQNA – Uchunguzi wa kina kuhusu hali ya hati za Kiarabu na Kiislamu zipatazo 40,000 katika maktaba tatu kubwa zaidi za umma nchini Ujerumani umefichua nukta za kuvutia kuhusu uhusiano wenye sura nyingi kati ya Ulaya, Mashariki ya Kati, na Afrika Kaskazini.
15:39 , 2025 Apr 13
Kikao cha Al Azhar kuhusu Al-Aqsa Katika Qur'ani

Kikao cha Al Azhar kuhusu Al-Aqsa Katika Qur'ani

IQNA- Kikao cha kumi na nne cha kila wiki cha Tafsiri ya Qur'anI katika Msikiti wa Al-Azhar nchini Misri kitafanyika kwa mada "Msikiti wa Al-Aqsa katika Quran".
15:05 , 2025 Apr 13
Kongamano Mauritania lajadili matumizi ya Akili Mnemba katika kuhudumia Qur’ani Tukufu

Kongamano Mauritania lajadili matumizi ya Akili Mnemba katika kuhudumia Qur’ani Tukufu

IQNA – Kongamano lililopewa jina “Jinsi ya kutumia Akili Mnemba (Artificial Intelligence-AI-) kuhudumia Kitabu cha Mwenyezi Mungu na Kuwasaidia Ndugu Zetu wa al-Quds” iliandaliwa nchini Mauritania.
14:43 , 2025 Apr 13
Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani kwa Wanafunzi Waislamu: Usajili wa Sehemu ya Teknolojia na Ubunifu

Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani kwa Wanafunzi Waislamu: Usajili wa Sehemu ya Teknolojia na Ubunifu

IQNA – Kadri maandalizi ya Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur'ani kwa Wanafunzi Waislamu yanavyoendelea, tarehe ya mwisho kwa washiriki wa sehemu ya Teknolojia na Ubunifu Kuhusu Qur’ani inakaribia.
14:32 , 2025 Apr 13
Saudia yaweka vizuizi vya kuingia mji mtakatifu wa Makka kabla ya Hija

Saudia yaweka vizuizi vya kuingia mji mtakatifu wa Makka kabla ya Hija

IQNA – Saudi Arabia imetangaza msururu wa vikwazo na vizuizi vya kuingia  mji mtakatifu wa Makka kabla ya msimu wa Hija
14:18 , 2025 Apr 13
Daraja za Tawakkul

Daraja za Tawakkul

IQNA – Baadhi ya watu humkumbuka Mwenyezi Mungu pale tu wanapojiridhisha kuwa njia zote zimefungwa. Ni pale wanapoona kuwa kila njia imezibwa ndipo huamua kumtegemea Mwenyezi Mungu.
14:08 , 2025 Apr 13
Watu wa Tunisia wataka sheria ya kuharamisha uhusiano na Israel 

Watu wa Tunisia wataka sheria ya kuharamisha uhusiano na Israel 

IQNA – Watu wa Tunisia wamefanya maandamano katika mji mkuu Tunis na miji mingine siku ya Ijumaa, wakitaka kuwekwa sheria ya kuzuia uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni. 
21:11 , 2025 Apr 12
Msikiti nchini Uingereza wapongezwa kwa kukusanya tani 120 za taka 

Msikiti nchini Uingereza wapongezwa kwa kukusanya tani 120 za taka 

IQNA-Msikiti wa UKIM Sparkbrook Islamic Centre huko Birmingham, Uingereza, umesifiwa kwa kushirikiana na Halmashauri ya Jiji la Birmingham kukusanya tani 120 za taka.
20:46 , 2025 Apr 12
UN:  Tokea Machi 18, mashambulizi 36 ya Israel huko Gaza yameua wanawake na watoto pekee

UN: Tokea Machi 18, mashambulizi 36 ya Israel huko Gaza yameua wanawake na watoto pekee

IQNA-Umoja wa Mataifa umesema wanawake na watoto wa Kipalestina ndio pekee waliouawa katika mashambulizi yapatayo 36 ya anga yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza tangu katikati ya mwezi Machi na kuonya kwamba mashambulizi ya kijeshi ya Israel yanahatarisha "kuendelea kuwepo Wapalestina kama jamii".
12:49 , 2025 Apr 12
Mfasiri wa Kwanza wa Qur'ani Tukufu kwa Kijapani ​

Mfasiri wa Kwanza wa Qur'ani Tukufu kwa Kijapani ​

IQNA-Haj Ryoichi Umar Mita alikuwa mfafsiri wa kwanza wa Qur'ani Tukufu kwa lugha ya Kijapani. Alizaliwa mwaka 1892 katika mji wa Shimonoseki, Mkoa wa Yamaguchi, kisiwa cha Kyushu, Japan, katika familia ya Kisamurai na Kibuddha.​
12:36 , 2025 Apr 12
Tamasha la maua ya Tulip mwaka 2025 mjini Karaj

Tamasha la maua ya Tulip mwaka 2025 mjini Karaj

KARAJ (IQNA)- Tamasha Maua ya Tulip limeanza April 4, 2025 katika mji wa Karaj, mkoa wa Alborz magharibi mwa Tehran nchini Iran. Tamasha hilo linafanyika katika Bustani ya Chamran na kuna maua zaidi ya 150,000 ya Tulip ya rangi mbali mbali.
11:40 , 2025 Apr 12
Nyama za Idul Adha za Waislamu wa Singapore kusambazwa Gaza

Nyama za Idul Adha za Waislamu wa Singapore kusambazwa Gaza

IQNA – Waislamu nchini Singapore (Singapuri) wamejitolea kuchangia nyama kwa watu wa Gaza wakati wa sikukuu ya Idul Adha, kutokana na janga la kibinadamu katika Ukanda huo uliozingirwa na utawala dhalimu wa Israel.
20:26 , 2025 Apr 11
4