IQNA

Wosia wa kihistoria wa Imam Ali (AS); Kiashiria cha Haki ya Kifedha katika Uislamu 

Wosia wa kihistoria wa Imam Ali (AS); Kiashiria cha Haki ya Kifedha katika Uislamu 

IQNA-Kuna mausuala mawili maarufu yaliyosalia kutoka kwa Ali Ibn Abi Talib (AS): la kwanza ni wosia wa kiakhlaqi kwa umma ambao anatoa maelekezo kuhusu mambo muhimu: "Allah Allah kwa yatima... n.k" na mwingine ni wosia wa kifedha ambao unajulikana kama "Kitabu cha Sadaka za Ali" (Waraka wa mali za wakfu za Ali). 
14:20 , 2025 Mar 29
PICHA: Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds huko Kashmir

PICHA: Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds huko Kashmir

IQNA - Kumefanyika maandamano makubwa huko Srinagar, na maeneo mengine ya Kashmir Siku ya Kimataifa ya Quds mnamo Machi 28, 2025, ambapo maelfu ya watu walielezea mshikamano wao na watu madhulumu wa Palestina. Picha na Ubaid Mukhtar
13:12 , 2025 Mar 29
PICHA: Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Iran

PICHA: Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Iran

IQNA - Mamilioni ya Wairani waliingia barabarani katika miji na vijiji 900 kote katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mnamo Machi 28, 2025, kuonyesha mshikamano na watu wa Palestina katika Ijumaa ya mwisho ya Ramadhani, inayoadhimishwa kila mwaka kama Siku ya Kimataifa ya Quds.
13:10 , 2025 Mar 29
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 28

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 28

IQNA-Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
08:08 , 2025 Mar 29
Juzuu ya 28- Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani

Juzuu ya 28- Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani

IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 28 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na maqari wafuatao kutoka Iran: Mohammadreza Purzargari, Seyyed Hossein Mousavi Baladeh, Habib Sedaqat, na Vahid Barati. Jiunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.
08:02 , 2025 Mar 29
Umuhimu wa Siku ya Kimataifa ya Quds

Umuhimu wa Siku ya Kimataifa ya Quds

IQNA--Mnamo mwaka 1979, mara tu baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, Imam Khomeini (Mwenyezi Mungu Amrehemu) alitangaza Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani kuwa siku ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds, akiwa amesimama imara katika kupigania haki za watu wote wanaodhulumiwa ulimwenguni.
17:59 , 2025 Mar 28
Msikiti Mkuu wa Makka wapokea waumini Milioni 4 katika sku Moja 

Msikiti Mkuu wa Makka wapokea waumini Milioni 4 katika sku Moja 

IQNA – Msikiti Mkuu wa Makka,  Masjid al Haram, eneo takatifu zaidi katika Uislamu, uliwapokea waumini, wakiwemo Mahujaji wa Hija ndogo ya Umrah,zaidi ya milioni 4 kwa siku moja katika mwezi mtukufu wa Ramadhani. 
17:40 , 2025 Mar 28
Waislamu Ufaransa walaani kampeni dhidi ya Wanawake wanaovaa Hijabu

Waislamu Ufaransa walaani kampeni dhidi ya Wanawake wanaovaa Hijabu

IQNA-Baraza la Kiislamu la Ufaransa (CFCM) limelaani kampeni inayoenea inayolenga wanawake wa Kiislamu wanaovaa hijabu, likiitaja kama yenye madhara na inayodhoofisha mshikamano wa kitaifa.
17:28 , 2025 Mar 28
Wairani wajitokeza kwa wingi katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds kuunga mkono Palestina

Wairani wajitokeza kwa wingi katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds kuunga mkono Palestina

IQNA-Wananchi Waislamu wa Iran kote nchini wamejitokeza kwa mamilioni kushiriki katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds, kuonyesha mshikamano na Palestina, na kulaani ukatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina hasa katika Ukanda wa Gaza.
17:01 , 2025 Mar 28
Ibada za Laylat al-Qadr katika Najaf, Rey

Ibada za Laylat al-Qadr katika Najaf, Rey

IQNA – Ibada za Laylat al-Qadr (Usiku wa Cheo au Usiku wa Hatima) zilitekelezwa Waislamu kote ulimwenguni Jumapili usiku, siku ya 23 ya Ramadhani (Machi 23, 2025). Picha zifuatazo zinaonyesha mijumuiko katika kaburi takatifu la Imam Ali (AS) huko Najaf, Iraq, na kaburi takatifu la Hadhrat Abdul Azim Hassani (AS) katika eneo la Rey, Iran.
11:32 , 2025 Mar 28
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 27

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 27

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
02:10 , 2025 Mar 28
Juzuu ya 27- Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani

Juzuu ya 27- Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani

IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 27 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na maqari wafuatao kutoka Iran: Masoud Nouri, Hamidreza Ahmadivafa, Seyyed Mohammad Kermani, na Vahid Barati. Jiunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.
02:06 , 2025 Mar 28
Fahamu Sababu za Kutojibiwa Dua

Fahamu Sababu za Kutojibiwa Dua

IQNA – Mwanazuoni mwandamizi wa Kiislamu anachambua baadhi ya sababu zinazoweza kusababisha dua tunazomuomba Mwenyezi Mungu kutokujibiwa. 
01:35 , 2025 Mar 28
Ayatullah Khamenei atoa wito wa maandamano ya siku ya Quds yenye

Ayatullah Khamenei atoa wito wa maandamano ya siku ya Quds yenye "kiwango cha hali ya juu" 

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei amesema maandamano ya kimataifa ya Siku ya Quds, Ijumaa hii, "kwa msaada wa  Mwenyezi Mungu, yatakuwa moja ya maandamano bora, ya kupendeza zaidi, na yenye heshima zaidi."
00:51 , 2025 Mar 28
Milo Milioni 17 ya Futari  katika Misikiti ya Makka na Madina katika wiki Tatu za Ramadhani

Milo Milioni 17 ya Futari katika Misikiti ya Makka na Madina katika wiki Tatu za Ramadhani

IQNA – Zaidi ya milo milioni 17 ya Futari au Iftar imesambazwa katika Msikiti Mkuu wa Makka (Masjid al Haram)  na Msikiti wa Mtume Madina (Al Masjid an Nabawi) katika wiki tatu za kwanza za mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.. 
11:06 , 2025 Mar 27
9