iqna

IQNA

oic
TEHRAN (IQNA) - Warsha ilifanyika hivi karibuni huko Jeddah, Saudia kuhusu uwekaji wa huduma za kidigitali katika mashirika ya ustawishaji uwekezaji katika nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC).
Habari ID: 3476321    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/28

Bidhaa Halal
TEHRAN (IQNA) – Maonesho ya 9 ya ‘Halal’ ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) ambayo yamefanyika mjini Istanbul, Uturuki, kwa kushirikisha makampuni kutoka sehemu mbalimbali za dunia, yakiwemo makampuni 13 ya Iran ambayo yana msingi wa elimu au knowledge-based.
Habari ID: 3476159    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/27

Mapinduzi ya Kijeshi
TEHRAN (IQNA) – Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani kuondolewa madarakani kwa rais wa Burkina Faso, Paul-Henri Damiba na maafisa wa kijeshi.
Habari ID: 3475869    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/02

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) Hissein Brahim Taha ameelezea wasiwasi wa jumuiya hiyo kuhusiana na kuongezeka kwa chuki dhidi ya Uislamu katika baadhi ya nchi za Ulaya.
Habari ID: 3475812    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/20

Utalii wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Mawaziri wa Utalii wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) wanatarajiwa kushiriki katika mkutano katika mji mkuu wa Jamhuri ya Azerbaijan, Baku kujadili maendeleo ya utalii katika nchi za Kiislamu.
Habari ID: 3475430    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/26

Hali ya Waislamu India
TEHRAN (IQNA) - Taasisi ya haki za binadamu ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani vitendo vya kibaguzi dhidi ya Waislamu nchini India.
Habari ID: 3475404    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/21

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imesisitiza kuwa, mji mtakatifu wa Quds (Jerusalem) pamoja na Msikiti wa al Aqsa ni mstari mwekundu kwa Umma wa Kiislamu na amani na utulivu hauwezi kupatikana bila ya kukombolewa maeneo hayo matakatifu kutoka kwenye makucha ya utawala wa Kizayuni.
Habari ID: 3475174    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/27

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian amesema undumakuwili na kimya cha baadhi ya serikali na duru za kimataifa ndio chanzo cha kupata ubavu Israel katika kuzidisha uvamizi dhidi ya Wapalestina na ukiukaji wa haki zao.
Habari ID: 3475148    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/21

TEHRAN (IQNA) - Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imethibitisha uteuzi wa mjumbe maalum wa Afrika.
Habari ID: 3475078    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/26

TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Mambo ya Nje wa Tunisia Othman Jerandi amezitaka nchi za Kiislamu kushirikiana na kukomesha ongezeko la jinai za utawala ghasibu wa Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3475072    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/24

TEHRAN (IQNA) - Waziri Mkuu wa Pakistani Imran Khan alisema nchi yake daima itabaki kuwa ngome ya Uislamu na mtetezi wa haki na maslahi ya Waislamu duniani kote.
Habari ID: 3475061    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/20

TEHRAN (IQNA) – Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetangaza kuunga mkono Umoja wa Mataifa katika jitihada zake za kupatanisha makundi yote ya kisiasa Sudan ili kutatua mgogoro unaoendelea kutokota nchini humo.
Habari ID: 3474790    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/10

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: amani endelevu na ya kudumu itaweza kupatikana tu nchini Afghanistan ikiwa itaundwa serikali shirikishi na itakayojumuisha pande zote.
Habari ID: 3474694    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/19

TEHRAN (IQNA) Jumapilia 19 Disemba, mji mkuu wa Pakistan, Islamabad utakuwa mwenyeji wa Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) ambapo jenda kuu na pekee ya mkutano huo ni kuchunguza matukio ya Afghanistan hususan hali ya kibinadamu katika nchi hiyo.
Habari ID: 3474692    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/18

TEHRAN (IQNA) Hussein Ibrahim Taha ameanza rasmi kazi kama Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiisalmu (OIC).
Habari ID: 3474574    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/18

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Ushirikiano wa Nchi za Kiislamu (OIC) imelaani vikali kitendo cha utawala haramu wa Israel cha kubomoa maziara au makaburi ya Waislamu katika mji wa Quds, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3474417    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/13

TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Nchi za Kiislamu (ISBO) na Sheikh Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar wametangaza azma ya kuandaa kikao cha Idhaa za Qur’ani za nchi za Kiislamu mwezi Februari mwaka 2022.
Habari ID: 3474294    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/14

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetoa mwito kwa Wapalestina kujitokeza kwa wingi katika maandamano ya kukumbuka tukio chungu la kuteketezwa moto msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Israel.
Habari ID: 3474210    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/20

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetoa wito kwa wahusika wote wa mgogoro Afghanistan kuachana na ghasia na kutatia matatizo yaliyopo kwa njia ya mazungumzo.
Habari ID: 3474192    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/15

TEHRAN (IQNA)- Mabalozi wa kudumu wa nchini wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) katika Umoja wa Mataifa wametangaza azma yao ya kuhamisisha jamii ya kimataifa iunge mkono taifa la Palestina ambalo linakabiliwa na hujuma za utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473899    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/11