iqna

IQNA

mvua
Mji wa Makka
TEHRAN (IQNA) – Mvua kwa kawaida hunyesha katika mji mtakatifu wa Makka kwa kiasi kidogo kati ya Novemba na Januari. Ijumaa, Novemba 11, ilikuwa siku ya neema ya mvua katika mji mtakatifu.
Habari ID: 3476080    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/13

Kiangazi duniani
TEHRAN (IQNA) – Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ametoa wito kwa wauminikuhudhuria sala ya Istisqa siku ya Ijumaa, Novemba 11.
Habari ID: 3476057    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/08

TEHRAN (IQNA) – Mvua kubwa na za ghafla zimeruhusiwa katika msikiti wa Masjid An Nabawi (Msikiti wa Mtume SAW) katika mji wa Madina, Saudi Arabia, Jumapili jioni.
Habari ID: 3473030    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/03