iqna

IQNA

sabah
Taazia
IQNA- Amiri wa Kuwait Sheikh Nawaf al-Ahmad al-Jaber al-Sabah amefariki dunia leo akiwa na umri wa miaka 86.
Habari ID: 3478044    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/16

TEHRAN (IQNA)- Amir mpya wa Kuwati amelitaka baraza la mawaziri nchini humo kuendelea na majukumu yake na matayarisho ya uchaguzi mwaka huu baada ya waziri mkuu kujiuzulu.
Habari ID: 3473236    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/06

Ayatullah Udhma Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Jumatatu asubuhi mjini Tehran alionana na Sheikh Sabah al Ahmad al Jabir as Sabah, Amir wa Kuwait na ujumbe alioandamana nao na kusema kuwa, eneo la Ghuba ya Uajemi na usalama wake ni suala muhimu mno.
Habari ID: 1414303    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/03