Watetezi wa Palestina
IQNA-Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamuu ya Iran amesema kuwa, kadhia ya Palestina imegeuka na kuwa kadhia ya kwanza ya jamii ya mwanadamu ulimwenguni.
Habari ID: 3478198 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/14
Wiki ya Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu amekaribisha kuanzishwa tena kwa uhusiano wa kidiplomasia kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Saudi Arabia kama maendeleo muhimu ya ushirikiano na urafiki kati ya nchi zote za Kiislamu.
Habari ID: 3477678 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/01
Hujjatul Islam Hamid Shahriari
TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu amesema Maonyesho ya Qur'ani Tukufu ya Tehran ni mwitikio mzuri kwa chuki dhidi ya Iran (Iranophobia) na chuki dhidi ya madhehebu ya Shia Shiaphobia).
Habari ID: 3476855 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/12
Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA) – Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu (WFPIST) imekumbatia wito wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar wa kuanzisha mazungumzo kati ya Waislamu wa madhehebu za Shia na Sunni.
Habari ID: 3476050 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/07
Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu (WFPIST) amesemakuanzisha umoja wa nchi za Kiislamu ni jambo linalowezekana
Habari ID: 3475301 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/27
TEHRAN (IQNA)- Mkutano wa 35 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu utafanyika Tehran na kushirikisha wasomi 50 maarufu duniani.
Habari ID: 3474429 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/16
TEHRAN (IQNA) - Kongamano la 14 la Umoja wa Kiislamu limefanyika London, Uingereza Ijumaa Julai 9.
Habari ID: 3474088 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/10