iqna

IQNA

mashambulizi
TEHRAN (IQNA) - Mauaji ya kikatili ya utawala wa Israel dhidi ya raia wasiopungua 500, wengi wao wakiwa wanawake na watoto, katika hospitali moja huko Ghaza siku ya Jumanne yaliibua shutuma na hasira kutoka sehemu mbalimbali za dunia.
Habari ID: 3477762    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/19

TEHRAN (IQNA) - Waislamu katika nchi mbalimbali katika eneo la Asia Magharibi waliingia barabarani Jumanne usiku kukemea uhalifu wa hivi punde wa Israel katika kulenga hospitali ya kiraia katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3477756    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/18

WASHINGTON, DC (IQNA) - Kundi la kutetea haki za Waislamu linatazamiwa kuandaa mkutano na waandishi wa habari kuhusu mzozo unaoendelea huko Gaza na uvamizi usiokoma wa Israel huku wakihamasisha ukaliaji wa ardhi ya Palestina.
Habari ID: 3477721    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/12

TEHRAN (IQNA)- Kundi la vyama vya siasa na asasi za kiraia nchini Tunisia zimefanya kongamano kwa mnasaba wa mwaka wa pili wa kuuawa shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) na Abu Mahdi al-Muhandis, Naibu Mkuu wa Kikosi cha Kujitolea cha Wananchi wa Iraq cha Hashd al Sha'abi.
Habari ID: 3474743    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/30