iqna

IQNA

riba
Qur'ani Tukufu Inasemaje / 39
TEHRAN (IQNA) – Matokeo ya riba ni kwamba inasababisha watu dhaifu kifedha kupoteza mitaji yao yote na maisha yao kuharibiwa.
Habari ID: 3476194    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/04

Benki ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Katika hatua muhimu ya kusonga mbele Waislamu 800,000 wa Australia, nchi itashuhudia benki yake ya kwanza ya Kiislamu ikifunguliwa rasmi.
Habari ID: 3475927    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/14

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Uislamu unasisitiza juu ya mwingiliano mzuri wa kiuchumi, ukisisitiza kwamba mtu anapaswa kujitahidi kupata pesa kwa nj ambazo ni ‘Halal’ au kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu.
Habari ID: 3475830    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/23

Mfumo wa kifedha wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Utafiti mpya umegundua kuwa mfumo wa kifedha wa Kiislamu unastawi kwa kasi na uko tayari kwa ukuaji wa haraka katika miaka ijayo.
Habari ID: 3475693    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/28

Benki za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Sheria mpya inaandaliwa nchini Russia ambayo itasimamia benki za Kiislamu nchini humo katika jitihada za kuvutia wawekezaji kutoka nchi za Kiislamu.
Habari ID: 3475510    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/16