iqna

IQNA

koptik
Waislamu na Wakristo Misri
TEHRAN (IQNA) - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar Misri kimetoa salamu za rambirambi kwa Wakristo nchini humo kutokana na moto kanisani uliosababisha vifo vya takriban watu 41 wakiwemo watoto.
Habari ID: 3475626    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/15