iqna

IQNA

imam khomeini
Rais Ebrahim Raisi
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hivi sasa, zaidi ya wakati wowote ule, nchi inahitaji kufuata njia iliyojaa nuru na yenye uwokovu ya Imam Khomeini MA.
Habari ID: 3475029    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/10

Msemaji wa Harakati ya Nujabaa
TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya al-Nujabaa ya Iraq alisisitiza kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa nchi pekee iliyosimama kidete kukabiliana na Marekani baada ya Vita vya Pili vya Dunia.
Habari ID: 3474908    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/08

Waziri wa zamani wa mambo ya nje Iran asema
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Iran amesema hayati Imam Khomeini- Mwenyezi Mungu Amrehemu, muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alihuisha Uislamu na kuwapa Waislamu utambulisho
Habari ID: 3474905    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/08

Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran amesema Mapinduzi ya Kiisalmu ya Iran ni tafauti kabisa na mapinduzi mengine dunaini na kuongeza kuwa: "Mbinu aliyotumia Imam Khomeini (MA) ilikuwa ni kuwategemea wananchi."
Habari ID: 3474883    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/02

TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kumtegemea Mwenyezi Mungu na kuwahusisha wananchi ni misingi miwili ambayo ilitumiwa na Imam Khomeini MA na hivyo kupelekea taifa la Iran liweze kufanikisha Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3474880    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/02

Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapunduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei mapema leo asubuhi amefanya ziara katika Haram toharifu ya Imam Khomeini MA, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu na maziara ya Mashahidi katika Makaburi ya Behesht Zahra SA kusini mwa Tehran.
Habari ID: 3474873    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/31

Kiongozi Muadhamu kwa mnasaba wa kuanza Wiki ya Basiji
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametuma ujumbe wa maandishi kwa mnasaba wa Wiki ya Jeshi la Kujitolea la Basiji na kusema kuwa: Mabasiji mnapaswa kuwa watatuzi wa masuala yote ya nchi na ya taifa kwa kumtegemea na kutawakali kwa Mwenyezi Mungu, Mjuzi na Muweza wa kila siku.
Habari ID: 3474596    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/25

TEHRAN (IQNA)- Kongamano la 35 la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu limemalizika Jumamosi mjini Tehran baada ya kufanyika kwa muda wa siku tano.
Habari ID: 3474463    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/24

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuhusu mchango usio na kifani wa Mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Imam Khomeini (Mwenyezi Mungu Amrehemu-MA-) wa kuleta umoja kati ya Waislamu wa madhehebu za Shia na Sunni.
Habari ID: 3474462    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/23

TEHRAN (IQNA)- Warsha ya kimataifa yenye anuani ya , "Mahitajio ya Umoja wa Kiislamu Katika Dunia ya Leo' limefanyika Alhamisi mjini Tehran.
Habari ID: 3474453    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/21

TEHRAN (IQNA)- Msomi mmpja wa Pakistan ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuandaa kila mwaka kongamano la kimataifa la umoja wa Kiislamu na kusema hatua hiyo ni huduma kubwa wa Waislamu duniani.
Habari ID: 3474450    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/21

TEHRAN (IQNA)- Mkutano wa 35 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu utafanyika Tehran na kushirikisha wasomi 50 maarufu duniani.
Habari ID: 3474429    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/16

TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran akiwa na baraza lake la mawaziri wamefika katika Haram Takatifu ya muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Imam Khomieni -Mwenyezi Mungu Amrehemu-na kujadidisha bai'a na mkono wa utii kwa malengo ya Imam na Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3474227    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/26

TEHRAN (IQNA)- Imam Khomeini-Mwenyezi Mungu Amrehemu- ni shakhsia ambaye ambaye hakuwa tu ni wa Waislamu bali pia alikuwa ni wa wasio kuwa Waislamu nchini Iran na kote duniani.
Habari ID: 3474011    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/16

TEHRAN (IQNA)- Nafasi ya Imam Khomeini-Mwenyezi Mungu-amrehemu katika kuibua mwamko katika mataifa na kudhihirisha taswira halisi ya maadui wa Uislamu imekuwa ni ya kipekee katika zama hizi.
Habari ID: 3474010    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/16

TEHRAN (IQNA) Kongamano la Kimataifa la 'Imam Khomeini na Ulimwengu wa Kisasa". Kongamano hilo limefanyika 3 Juni 2021 kwa munasaba wa kukumbuka mwaka wa 32 wa kuaga dunia Imam Khomeini MA, muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3473980    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/04

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema taifa la Iran leo na mustakabali wa mbali linapaswa kulinda kumbukumbu ya Imam Khomeini-Mwenyezi Mungu Amrehemu.
Habari ID: 3473979    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/04

Sheikh Issa Qassim
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Bahrain amesema moja kati ya mafanikio makubwa zaidi ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni kuundwa mrengo wa muqawama au harakati za mapambano ya Kiislamu na kupata ushindi mrengo huo katika mapambando dhidi ya mfumo wa kibeberu.
Habari ID: 3473978    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/04

Sayyid Hassan Khomeini
TEHRAN (IQNA)- Ujumbe muhimu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ulikuwa ni kutoa wito kwa dunia ya sasa irejee katika umaanawi na maadili mema.
Habari ID: 3473977    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/04

Balozi wa Syria nchini mjini Tehran
TEHRAN (IQNA)- Balozi wa Syria nchini mjini Tehran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa nchi yenye nafasi muhimu zaidi katika eneo na pia katika sera za kimataifa na inahusika katika kuibua mfumo mpya ya kimataifa.
Habari ID: 3473976    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/03