Aya ya tano ya Surat al-Isra inasema hivi: " Basi itapo fika ahadi ya kwanza yake tutakupelekeeni waja wetu wa kali kwa vita. Watakuingilieni ndani ya majumba. Na hii ilikuwa ahadi iliyo timizwa."
Klipu ya qiraa hii ambayo IQNA ina sauti ya Mashekhe watano maarufu wa Misri (Mwenyezi Mungu awarehemu wote), ambao ni Sheikh Muhammad Siddiq Al-Minshawi, Sheikh Mustafa Ismail, Sheikh Abdul Basit Abdul Samad, Sheikh Mahmoud Ali Al-Banna na Sheikh Kamel Yusuf Al-Bahtimi.